Naomba msaada namna ya kupanga uzazi kwa my wife wangu kwa njia ya calender maana sina mpango kumpa uzauzito kwa miezi ya hivi karibuni mpaka miezi 7 ipite tuenjoy ndoa yetu kwanza,nasipendi atumie njia nyingine ya uzazi maana wanadai wakati mwingine ujauzito unachelewa.
kuanzia siku ya 10,11,13,(14),15,16,17 hizi ni siku hatari..unahesabu kuanzia siku ambayo anabreed siku ya kumi na 4 ndo yenyewe,siku nyingine kanyaga twende,ila upo uzii huna hii mada
kuanzia siku ya 10,11,13,(14),15,16,17 hizi ni siku hatari..unahesabu kuanzia siku ambayo anabreed siku ya kumi na 4 ndo yenyewe,siku nyingine kanyaga twende,ila upo uzii huna hii mada