Namna ya kupata kibali cha kusafirisha mazao nje ya nchi

Namna ya kupata kibali cha kusafirisha mazao nje ya nchi

Sarfos16

New Member
Joined
May 28, 2021
Posts
3
Reaction score
3
Wadau naomba kujua kama kuna taratibu zozote za kufanya ili kuweza kufanya biashara ya mazao lwa kuuza nje ya nchi hususani hotcultural

=======

Mchango wa mdau

Mimi sifanyi biashara ila Nina miaka miwili mfululizo huwa namuombea vibali baba yangu mdogo- unatakiwa uwe na

Leseni ya BRELA tsh 300000
TIN ya mlipa kodi TRA na

Uingie katika tovuti ya kilimo utengengeneze username na password , omba vibali kwa kufata maelekezo ndani ya siku 3 za kazi utapata kibali/vibali , una download unaendelea na yako
 
Mimi sifanyi biashara ila Nina miaka miwili mfululizo huwa namuombea vibali baba yangu mdogo- unatakiwa uwe na

Leseni ya BRELA tsh 300000
TIN ya mlipa kodi TRA na

Uingie katika tovuti ya kilimo utengengeneze username na password , omba vibali kwa kufata maelekezo ndani ya siku 3 za kazi utapata kibali/vibali , una download unaendelea na yako
 
Wakikujibu nitag. Haiwezekani wabongo kazi kujenga guest houses na Wakenya ndio wanakuja kununua mazao yetu kuyapeleka kwao kuongeza thamani.
 
Mimi sifanyi biashara ila Nina miaka miwili mfululizo huwa namuombea vibali baba yangu mdogo- unatakiwa uwe na

Leseni ya BRELA tsh 300000
TIN ya mlipa kodi TRA na

Uingie katika tovuti ya kilimo utengengeneze username na password , omba vibali kwa kufata maelekezo ndani ya siku 3 za kazi utapata kibali/vibali , una download unaendelea na yako

Umeeleweka mkuu, Naomba muongozo zaidi 0655623112, asante
 
Back
Top Bottom