respect wa boda
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 4,556
- 3,842
Wakuu salam,
Naam kama umeshapata Ticket yako au tuseme Kadi inayokuwezesha kupata tiketi, tunaomba uzoefu wako hapa.
Tuelekeze tunakoweza kupata kadi hiyo na hatimaye Tiketi husika. Au tunaomba utaratibu mzima wa kuwezesha kuona Machi hiyo.
Vilevile unaweza kutujuza pengine, madaraja na gharama zake, Sehemu rahisi ambayo tunaweza kupata Tiketi bila kukaa kwa muda mrefu kwenye Foleni.
Wakuu tunatanguliza Shukrani.
BACK TANGANYIKA
Naam kama umeshapata Ticket yako au tuseme Kadi inayokuwezesha kupata tiketi, tunaomba uzoefu wako hapa.
Tuelekeze tunakoweza kupata kadi hiyo na hatimaye Tiketi husika. Au tunaomba utaratibu mzima wa kuwezesha kuona Machi hiyo.
Vilevile unaweza kutujuza pengine, madaraja na gharama zake, Sehemu rahisi ambayo tunaweza kupata Tiketi bila kukaa kwa muda mrefu kwenye Foleni.
Wakuu tunatanguliza Shukrani.
BACK TANGANYIKA