Namna ya kupata vibarua na ajira za muda mfupi

Namna ya kupata vibarua na ajira za muda mfupi

Je uliwai kwenda kufanya iyo kazi ukapa nafasi au unadhani unajiendea unakaa unaanza kuelekeza kila sehemu utakuta wanaohusika hapo itabidi uwaombe wakikibali njoo unipige.

Maisha sio rahisi hivyo.
Nje ya mada. Vijana mjini kulala njaa kupenda. Mathalani kwa dar, Kuna wale jamaa wanaonyesha parking za kupaki magari k/Koo, asee wanapiga si haba. Akikuonyesha parking unampa hero/buku halafu wewe utamalizana na mtoza ushuru. Kwasku hawakosi kuanzia ten.
 
Mfumo kama huu niliuona Kenya unatumika na umefanikiwa vizuri sana.
Na kuna wamama watu wazima kabisa nilikuwa nawaona kwenye mageti ya mabosi wakisubiria hiyo ya day work(temporary house maid) na wanalisha familia zao na kusomesha watoto.
Kilichowafanya wafanikiwe ni kwa sababu wakenya wana discpline sana ya kazi na kila mtu anaheshimu kazi ya mwingine.
Tatizo linalokuja bongo sasa ni ukosefu wa discpline kwenye kazi na baadhi ya watu kudharau au kuchukulia powa/masihara kazi ya mwingine.
Sitaki nikuvunje moyo unaweza kuifanya ukaangalia trend yake but I guess utakuwa unaletewa kesi za ajabu sana ambazo zingine utashindwa kuzipatia ufumbuzi.
Na kesi ambazo utazipata mara kwa mara ni
1.Wizi-wabongo huwa hawaheshimu future yao yaani yuko tayari kuacha kazi inayomuingizia kipato miaka yote kwa kuiba na kutoroka kwa kitu chenye thamani ya laki 5.
2.Kupeana mimba-wenye majumba huwa hawana nidhamu ya kuheshimu umuhimu wa kazi ya housemaid huwachukulia kama watumwa na kuwafanya watakavyo.
3.Kukosekana au kuchelewa kwa malipo-wenye nyumba wengi walishazoea kulipa elfu 30 au 40 kwa mwezi mzima na tena sio kwa wakati hadi muda wanaojisikia,kwa hyo wewe ukiwaambia wakulipe elfu 10 kwa siku au elfu 50 kwa wiki ili ufidie gharama za ofisi wataona ni mzigo mzito upande wao.
OTHERWISE NI IDEA NZURI
Uko sahihi kabisa, ustaarabu wetu Bongo uko chini sana. Unaweza kumleta day work akija anaanza kutafuta kiporo cha jana anatengeneza na chai kama kwake. Anamaliza kunywa chai saa sita na makubaliano ni saa mbili mpaka saa kumi jioni.

Baada ya hapo anategemea malipo yake kamili.
 
Uko sahihi kabisa, ustaarabu wetu Bongo uko chini sana. Unaweza kumleta day work akija anaanza kutafuta kiporo cha jana anatengeneza na chai kama kwake. Anamaliza kunywa chai saa sita na makubaliano ni saa mbili mpaka saa kumi jioni.

Baada ya hapo anategemea malipo yake kamili.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] jamaniiih lol
 
Risk kubwa sana jail njenje, ubakaji, wizi nk

Changamoto za kukosa wafanya kazi permanent
 
Ni wazo zuri sana lakini vibaka unawachuja vipi ili wateja husika wasilizwe?
Mteja ni rahisi kujilinda, maana mazingira ya utendaji kazi unaandaa wewe
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Chezeya vibaka Khantwe. Access ya nyumbani kwako ni opportunity ya wao kusoma mazingira ya hapo kwa umakini mkubwa na kuna nini ambacho/ambavyo kitakuwa/vitakuwa na thamani kwao kabla ya kuja kufanya yao.

Mteja ni rahisi kujilinda, maana mazingira ya utendaji kazi unaandaa wewe
 
Chezeya vibaka Khantwe. Access ya nyumbani kwako ni opportunity ya wao kusoma mazingira ya hapo kwa umakini mkubwa na kuna nini ambacho/ambavyo kitakuwa/vitakuwa na thamani kwao kabla ya kuja kufanya yao.
Daah aisee mbaya sana hii
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom