Namna ya kupata viewers kwenye website au blog

Namna ya kupata viewers kwenye website au blog

Wakuu namimi pia naombeni mnishauri ka blog kangu ninapata views 15000 kwa mwezi ila sijajiunga na hizo seo na pia hata nikiki search Google sipatikani

Ushauri plz

Na ni ads yupi anaye lipa vizuri nimejiunga na revenue hits lakini matangazo yake hayaendani na blog yangu

Ushauri plz
Mkuu habari,
Kwakua unatumia free domain basi huna haja ya kuhangaika na mambo ya site map submission maana teyari wenye site yao(google) washakufanyia. Cha msingi tumia Premium template then hakikisha umeandika proper Meta tags na meta keyword.

Pia ili uendane na mambo kwa sasa, hama http uje https .

Traffic uliyonayo bado ni ndogo Mno hivyo nikushauri tuu weka nguvu zako katika kuikuza site yako, tumia mkwanja pia kuikuza site yako Kisha hayo mengine yatakuja tuu
 
Kwa mimi binafsi google adsense ndio namba moja ila naomba nkuulze hao viewers elfu 15 kwa mwez unawapata vipi yani wanakuja kwa njia gan kwnye site yako....??? Ushaur kama kwenye search engine hauonekani basi utakuwa wapata visitor kwa shida sana make sure uwepo kwa seo vinginevyo mpka mtu aingine kwenye site yako moja kwa moja ndio akupate
binafsi hua natumia Ku share kwenye mitandao ya kijamii has a hasa Facebook
 
Mkuu habari,
Kwakua unatumia free domain basi huna haja ya kuhangaika na mambo ya site map submission maana teyari wenye site yao(google) washakufanyia. Cha msingi tumia Premium template then hakikisha umeandika proper Meta tags na meta keyword.

Pia ili uendane na mambo kwa sasa, hama http uje https .

Traffic uliyonayo bado ni ndogo Mno hivyo nikushauri tuu weka nguvu zako katika kuikuza site yako, tumia mkwanja pia kuikuza site yako Kisha hayo mengine yatakuja tuu
nashukuru sana mkuu

ila umeniacha kidogo



umesema ni hame kwenye http nihamie HTTPS

ukiwa na maana ya .com?? kutoka .blogspot


na pia kuhusu traffic ni dadavulie hapo mkuu
 
hii thread nahisi haito tendewa haki bila kupata warau neno kutoka kwa Chief-Mkwawa

coz huyu ndio moja ya watu walio nishawishi kufungua blog
 
Maswali ya ki SEO yanaanza kama ifuatavyo.

Umeiunganisha blog yako na Google Webmaster Tools?

Umeiunganisha blog yako na Bing webmaster tools? ,Yandex webmaster?

(SITEMAP SUBMISSION INAHUSIKA HAPO)

Umehakiki template yako Structural Data yake? je google wanaisoma blog yako vile inapaswa kuwa kwa mpangilio sahihi ule wanaoutaka?.

Je huwa una share posts zako kwenye social medias au unategemea Organic Traffic pekee (Search Engines Only)?

kaa ukijua kuwa search enginen hawawezi ku crawl blog yako kama haujawapa data zako kwao (sitemap) so that wakutrack kisha watume robots zao ziwe zinafuatilia na ku index kila utachopost.

ntafute nkurekebishie japo gharama zitahusika

pia kama uko serious na blog yako its better ukainunulia domain name ya .com kisha ufanye kazi kiprofessional zaid

Healthy Comment bro! Naomba tuonane PM chief ninawebsite zangu nataka ziweze pata more visitors through social media, ila sijui nini kifanyike
 
nashukuru sana mkuu

ila umeniacha kidogo



umesema ni hame kwenye http nihamie HTTPS

ukiwa na maana ya .com?? kutoka .blogspot


na pia kuhusu traffic ni dadavulie hapo mkuu
Habari naomba nikufungue macho kidogo Kama unatumia mtandao Wa Blogger Ili kuelewa Zaidi kuhama kutoka http kuja https maana yake ni kwamba unatoka http ambayo haipo secure kuja katika certificate ya Bure ya Google ambayo ni https Baada ya hapo Url ya Blog Yako utaona ina Kufuli la Kijani ikimaanisha kwamba ipo secure Ndio maana Google Kila siku zinashusha chini Blog Zote za http Kwa Sababu hazijukijani Baadae Visitors wanaotoka http wanakua Directed kuja mfumo salama maarufu Kama https Kwa ku-hitimisha kununua domain Haina uhusiano na https bali ni Kuachana na Costume Domain ya Google (.blogspo.com) kuja Premium Domain Yakwako (.com .org .one) ni hayo tu Kwa leo
 
Back
Top Bottom