Namna ya kupika sambusa

Namna ya kupika sambusa

Manda ya kuanda mwenyewe ni nzuri zaidi kuliko ya Azam... kanda unga kama wa chapati, kata vidonge vya wastani, sukuma kidonge kimoja kama mala mbili, paka mafuta ya kutosha .. pandishia kidonge kingine sukuma kwa pamoja cha chini kinakuwa kipana.. ikishapanuka weka kikaango kipana ktk moto bila mafuta kikishapata moto weka manda kwa muda kidogo kisha geuza ikiwa tayari banduazinatoka kama chapati laini sana na nyembamba..hifadhi zisikauke, kata kama msalaba tayari kwa kufunga sambusa.
 
3536.jpg

3537.jpg


3538.jpg

3539.jpg


3540.jpg

3541.jpg

3543.jpg

3544.jpg

3546.jpg

3547.jpg

3548.jpg

usafi ni muhimu sana ona hayo makucha vipi tenaaaaa!?
 
Back
Top Bottom