Namna ya kupima chumvi kabla ya kuilamba

Namna ya kupima chumvi kabla ya kuilamba

kumekuwa na ongezeko la uhitaji wa chumvi kwenye chakula katika muda wa kula na kujimegea mapochopocho,
lakini kumekuwa na swali kubwa sana kwa walaji, je utajuaje kama msosi umekolea chumvi ya kutosha au umezidi sana chumvi mpaka kuharibu ladha na harufu ya msosi wenyewe ?
the last thing ambacho mlaji anahitaji ni kula chakula kibovu na kujikuta anatapika na kuharisha.

Hii ni moja ya njia ambayo walaji na wanywaji wa mchuzi wa nyama hutumia kabla ya kuweka kipande cha nyama mdomoni , chukua kidole chako chovya kwenye mchuzi kisha ingiza mdomoni kwa mpishi mwenyewe , ukiona mpishi anapata tabu kufurahia ladha ya mchuzi wake mwenyewe , jua chumvi imeharibika na mchuzi haupaswi kulambwa chumvi sio chumvi tena.
Yaani nilivyosoma kichwa cha habari, nilivyowaza Mungu anisamehe tu! Kumbe ni chumvi ya kwenye chakula loh
 
Vya chumvi sio vizur et, madaktari wametukataza wamesema tunywe maziwa tu kusaidia kuepuka kansa et
 
Mkuu, yaani nimekuna nduki Hadi kidogo nivunjike mguu baada ya kusoma heading....[emoji23][emoji23]
Baada ya kusoma maudhui, nimekuta bure kabisa... Maana minilijua ni chumvi ya chumvini...[emoji1787][emoji1787]
Na ndiyo anayoimaanisha hapa
 
Hebu ngoja kwanza!! Umemaanisha chumvi au chumvini? Shehe kuwa muwazi bana, sisi ni watu wazima bana
IMG_20200919_034827.jpg
 
Hii tafsida iliyotumika hapa ni kiwango cha masters aisee. Alafu Hicho ulichokiweka ni chakula au rangi ya direction ya kwa mpalange
 
Tulioga, nikafanyiwa massage, aisee!
Sikukumbuka hata kuonja chumvi!!!!!
Nilizama dimbani tu, kuichezea team yangu ya Ushindi, Uvinza FC.

Nairobi Stand up!
 
Back
Top Bottom