Namna ya Kurecover From Masturbation side effects

Ryzen

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2012
Posts
7,301
Reaction score
8,706
wakuu assume mtu umekuwa uki masturbate kwa week mara tatu au mbili kwa miaka kama mitano then ukaanza kuona effects kama ku loose concetretion na memory kuanza kuwa week, hapo tunasema ni effects of Masturbation.

Je Mtu ambae ameshapata hizo effects ukiongeza na weak erection...je atumie vyakula gani vya asili ili aweze kutatua hilo tatizo??
 
Kwanini unajifanya unamsemea mtu ilihali mhusika ni wewe
Anway pole kwa yaliyokukumba
 
mkuu kuwa wazi kwamba niwewe na unahitaji msaada
 
Punyeto mbaya saana sometimes najichukia mwenyewe kwanini nilijiingiza katika mchezo wa kipuuzi namna hii...
 
Nyeto haina madhara. Wanaosema inamadhara ni kwamba wanataka wafaidi peke yao. Piga nyeto mkuu mpaka memory zianze kurudi vizuri.
 
Kunywa maji angalau Lita 3 kwa siku

Fanya mazoezi kila siku Ili uongeze mzunguko wa damu

Kula matunda (machungwa, ndizi, matikiti, maembe, maparachichi, mapeas, nk)

Kula vyakula vya wanga Kama ugali na wali. Pamoja na Mboga za majani.

Muhimu: acha kukaa idle, acha kuangalia porno, tafuta girlfriend (Kama Uko boarding Fanya mazoezi ya viungo sanaa Na usome sana)

NAFAHAMU kuwa hii sio mara yako ya kwanza kutafuta msaada, umetafuta suluhisho hadi google na umekuja hadi Huku. Kumbuka kuacha punyeto ni maamuzi ya ndani kabisa. Amua kwa dhati kuacha

Usipoamua utakua unatwanga maji kwenye kinu.
 
Kabisa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…