Namna ya kurudisha mahusiano mazuri katika ndoa

Namna ya kurudisha mahusiano mazuri katika ndoa

MAGISAC

Member
Joined
Sep 6, 2011
Posts
97
Reaction score
26
Ni wazi kuwa migongano katika ndoa hutokea , lakini tatizo huwa ni namna ya kusuruhisha migongano hiyo. Katika ndoa mnaweza kukwaruzana kitu kidogo sana lakini kisipotafutiwa utatuzi mapema kinaweza leta madhara na kuvuruga uhusiano. Kama wewe ni mwanandoa na imetokea umemkwaza mwenzio kiasi cha kumfanya akasirike unaweza kujaribu hii. Mkiwa kitandani huku umemsogelea kwa sauti ya upole mwombe msamaha huku ukionyesha kweli unajutia kile ulichofanya. Mwambie maneno matamu yatakayompa faraja. Usiishie hapo mwonyeshe hisia zako za kimapenzi kwake. Muhimu zaidi mpe mapenzi motomoto siku hiyo. Ukitoka hapo hakuna atakayetaka kuanza kujadili kuhusu kosa hilo. Huu ni mtazamo wangu na imenisaidia binafsi. Matatizo mengine yanaweza kumalizwa na wanandoa wenyewe sio lazima kuwashirikisha watu wengine.
 
Katika thread chache zenye maana hii ni mojawapo,

Taifa linatokea kwenye familia ambayo inaanzia kwenye ndoa.

Ndoa ikisimama,ni pamoja na familia na Taifa kwa ujumla.
 
Ni wazi kuwa migongano katika ndoa hutokea , lakini tatizo huwa ni namna ya kusuruhisha migongano hiyo. Katika ndoa mnaweza kukwaruzana kitu kidogo sana lakini kisipotafutiwa utatuzi mapema kinaweza leta madhara na kuvuruga uhusiano.
Unajua kuna wakati mwenzako anakukosea lakini haoni km ni kosa, anachukulia kawaida so hapo itakuwaje? Lazma mambo yasiishe na hii njia yako itakuwa ngumu ku apply. Halafu kuna vitu vingine kusameheka kirahisi ni ngumu,inachukua muda sana kufutika moyoni,inategemeana na ukubwa wa kosa.
 
Ni wazi kuwa migongano katika ndoa hutokea , lakini tatizo huwa ni namna ya kusuruhisha migongano hiyo. Katika ndoa mnaweza kukwaruzana kitu kidogo sana lakini kisipotafutiwa utatuzi mapema kinaweza leta madhara na kuvuruga uhusiano. Kama wewe ni mwanandoa na imetokea umemkwaza mwenzio kiasi cha kumfanya akasirike unaweza kujaribu hii. Mkiwa kitandani huku umemsogelea kwa sauti ya upole mwombe msamaha huku ukionyesha kweli unajutia kile ulichofanya. Mwambie maneno matamu yatakayompa faraja. Usiishie hapo mwonyeshe hisia zako za kimapenzi kwake. Muhimu zaidi mpe mapenzi motomoto siku hiyo. Ukitoka hapo hakuna atakayetaka kuanza kujadili kuhusu kosa hilo. Huu ni mtazamo wangu na imenisaidia binafsi. Matatizo mengine yanaweza kumalizwa na wanandoa wenyewe sio lazima kuwashirikisha watu wengine.

Inategemea ni kosa gani!
 
Ni wazi kuwa migongano katika ndoa hutokea , lakini tatizo huwa ni namna ya kusuruhisha migongano hiyo. Katika ndoa mnaweza kukwaruzana kitu kidogo sana lakini kisipotafutiwa utatuzi mapema kinaweza leta madhara na kuvuruga uhusiano. Kama wewe ni mwanandoa na imetokea umemkwaza mwenzio kiasi cha kumfanya akasirike unaweza kujaribu hii. Mkiwa kitandani huku umemsogelea kwa sauti ya upole mwombe msamaha huku ukionyesha kweli unajutia kile ulichofanya. Mwambie maneno matamu yatakayompa faraja. Usiishie hapo mwonyeshe hisia zako za kimapenzi kwake. Muhimu zaidi mpe mapenzi motomoto siku hiyo. Ukitoka hapo hakuna atakayetaka kuanza kujadili kuhusu kosa hilo. Huu ni mtazamo wangu na imenisaidia binafsi. Matatizo mengine yanaweza kumalizwa na wanandoa wenyewe sio lazima kuwashirikisha watu wengine.

....'rushwa' ya ngono?...hapana bana, utatuzi wa migongano ya fikra isitatuliwe kitandani pekee,
kwa kufanya hivyo mnakaribisha mianya ya kunyimana tendo la ndoa kama ishara ya mpasuko.

 

....'rushwa' ya ngono?...hapana bana, utatuzi wa migongano ya fikra isitatuliwe kitandani pekee,
kwa kufanya hivyo mnakaribisha mianya ya kunyimana tendo la ndoa kama ishara ya mpasuko.

Yah km ni kusuluhisha yasifike kitandani,muyamalize hapo hapo hata kabla hayajawa makubwa km kweli mnapenda kuyamaliza.
 
Ni wazi kuwa migongano katika ndoa hutokea , lakini tatizo huwa ni namna ya kusuruhisha migongano hiyo. Katika ndoa mnaweza kukwaruzana kitu kidogo sana lakini kisipotafutiwa utatuzi mapema kinaweza leta madhara na kuvuruga uhusiano. Kama wewe ni mwanandoa na imetokea umemkwaza mwenzio kiasi cha kumfanya akasirike unaweza kujaribu hii. Mkiwa kitandani huku umemsogelea kwa sauti ya upole mwombe msamaha huku ukionyesha kweli unajutia kile ulichofanya. Mwambie maneno matamu yatakayompa faraja. Usiishie hapo mwonyeshe hisia zako za kimapenzi kwake. Muhimu zaidi mpe mapenzi motomoto siku hiyo. Ukitoka hapo hakuna atakayetaka kuanza kujadili kuhusu kosa hilo. Huu ni mtazamo wangu na imenisaidia binafsi. Matatizo mengine yanaweza kumalizwa na wanandoa wenyewe sio lazima kuwashirikisha watu wengine.

ni ushauri mzuri,unasaidia kuboresha ndoa. Nyongeza kidogo tu, kuna baadhi ya mambo ni vizuri mkamalizana kabla hata hamjafika kitandani. Kubali kushuka tu,kama unajua umemkosea mpenz wako,usitafute visababu ili uonekane hauko guilty. ukiomba msamaha kwa kumaanisha,hata ukitoka nje hatutajua kama uliomba msamaha. Nasema hivyo,coz kuna wengine wakikasirishwa,haingii chumbani/kitandani, siku hiyo atalala chumba cha watoto/ cha wageni,atalock kwa ndani,kama ulikuwa una time umuombe msamaha kitandani,umemkosa,then asubuhi anawahi kuamka, anasepa
 
Hapa ninazungumzia makosa yanayofanywa na wanandoa ambayo yanaweza kumalizwa na wanandoa wenyewe bila kuwashirikisha watu wengine.
 
Raha ya kusameheana ni kumaliza ugomvi kabla ya kuingia kitandan!japo hata technic hii ni nzuri kulingana na aina ya kosa na huyo umwombae pia!kwa mtu km mwenzangu na mie tunaopenda bila vibaya na kufuta kbs ile option ya kuachana au kuhama chumba hapo hatutakua na ujanja lol!
 
Back
Top Bottom