Namna ya kusign pesa za heslb kwa wanachuo

Namna ya kusign pesa za heslb kwa wanachuo

Japhet123

Member
Joined
Sep 11, 2024
Posts
12
Reaction score
34
Nimesign boom Jana ya awamu ya kwanza baada ya ku appeal Sasa kwenye lo verification imekuja Moja na kwenye failed imeandika Moja apo wasiwasi wangu kwenye failed.lakin message nimetumiwa uku kuwa installment imekamilika niende ku confirm kwa loan officer apa ndo nataka nijue ili niende na uhakika msaada wenu
 
Nenda kwa loan officer huko ndipo utapata maelezo kwa kina, hiyo ni changamoto kubwa, humu huwezi pata muongozo wowote kuhusu hilo.
 
Back
Top Bottom