Namna ya kusitisha matumizi ya TIN namba TRA

Andika barua ya kulifunga duka lako sababu ni kufilisika.w
 
Mbona niliwahi kwenda Ofisi moja ya TRA kuwaeleza nataka kufunga Biashara wakanieleza kuwa niende kwa Mkurugenzi husika aliyetoa leseni ya Biashara ndiyo anipatie barua juu ya kufunga/kusitisha biashara ili wao waweze kufanyia kazi.Aidha, unatakiwa kuwasilisha Certificate origional (TIN-TRA) na LESENI (Mkurugenzi) pia.
 

Leseni ya Biashara inahusiana nini na wao? kama leseni ako ime expire mtoa leseni hakutambui asilani
 
biashara ya genge nayo unalipa TRA!!! Au ulikodi frem ndg? Ukitaka usilipe kodi,tafuta eneo zuri jenga genge lako la miti hapo hawatakusumbua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa akifunga hiyo biashara,si ataikosa hata hiyo 7000 anayopata kwa siku? Kwa mauzo haya ya siku,nadhani hatotakiwa kulipa kodi kabisa kwa maana hesabu za mwaka hazizidi million 4

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa akifunga hiyo biashara,si ataikosa hata hiyo 7000 anayopata kwa siku? Kwa mauzo haya ya siku,nadhani hatotakiwa kulipa kodi kabisa kwa maana hesabu za mwaka hazizidi million 4

Sent using Jamii Forums mobile app
Kodi atalipa tu, kama anaweza kulipa pango la duka na tra wanataka chao!
 
[emoji4] [emoji4] [emoji4] mi nimemshauri ahame frem,ajenge banda la miti kama magenge mengine TRA hawatomsumbua

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahhaa. Lakini yeye aliuliza namna ya kusitisha TIN number yake, labda ili akija kutaka kufanya biashara tena asijekutana na deni kubwa, maana usipoandika barua ya kufunga biashara TRA wanaendelea kuhesabu deni na fine kila mwaka!!
 
Hahahhaa. Lakini yeye aliuliza namna ya kusitisha TIN number yake, labda ili akija kutaka kufanya biashara tena asijekutana na deni kubwa, maana usipoandika barua ya kufunga biashara TRA wanaendelea kuhesabu deni na fine kila mwaka!!
Yah,afatilie namna ya kusitisha hiyo TIN akishafanikiwa ahame hapo aendelee na biashara yake bila kusumbuana tena na tra

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shida yang naomba msaada jamanin simesahau tin number yangu na laini Yang imepotea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…