Uchaguzi 2020 Namna ya kutafuta kura 3m zilizopelea 2015

Uchaguzi 2020 Namna ya kutafuta kura 3m zilizopelea 2015

Lowasa karudi CCM na kurazake milioni 6.ukijumlisha na za JPM kura milioni 8 za mwaka 2015 jumla ya kura zitakuwa milioni 14.
ukiongeza na kura milioni 5 za mfalme wa Argentina za mwaka huu jumla ya kura za JPM zitakuwa milioni 19.
akuna muda wakubembelezana hapa,ni spana tu.
 
Gap kubwa kuna alizoondoka Nazo Slaa,Lowasa na Sumaye

Kuna za UKAWA walizoondoka nazo
Za UKAWA zaweza kuwa theluthi mbili kura milioni NNE kwa hiyo chadema inabaki na kura milioni Mbili zake

Hizo milioni sita za Lowasa sio mchezo Lisu hawezi kuzifikia hata afurukute vipi hazifikii kufikisha kura milioni hata tatu kwake itakuwa muujiza tena mkubwa mno na hauwezi kutokea
Kama mamvi alishinda itakuwa TL?!
 
Lowasa karudi CCM na kurazake milioni 6.ukijumlisha na za JPM kura milioni 8 za mwaka 2015 jumla ya kura zitakuwa milioni 14.
ukiongeza na kura milioni 5 za mfalme wa Argentina za mwaka huu jumla ya kura za JPM zitakuwa milioni 19.
akuna muda wakubembelezana hapa,ni spana tu.
Usiwandanganye, mimi nilipiga kwa Lowassa kwa sababu nilikuwa nataka CCM iondoke madarakani. Sasa nimebaki CHADEMA na jura yangu! Wadanganye wajinga wenzio!
 
Usiwandanganye, mimi nilipiga kwa Lowassa kwa sababu nilikuwa nataka CCM iondoke madarakani. Sasa nimebaki CHADEMA na jura yangu! Wadanganye wajinga wenzio!
Kakura kako kamoja bakinako,kuna warundi,wacongo,wanyarwanda wazambia,waganda,wamalawi n.k.mbona kura zipo nyingi tu zimezagaa kitaa.
 
Kakura kako kamoja bakinako,kuna warundi,wacongo,wanyarwanda wazambia,waganda,wamalawi n.k.mbona kura zipo nyingi tu zimezagaa kitaa.
Safari hii tunawadhibiti, tusiyemfahamu mtaani hapigi kura!
 
Kiukweli CCM walijitaidi Sana kuhimizana kujiandikisha kwenye daftari la mpiga kura,upinzani ulilega,kiasi ambacho wengi hawana kadi,ata tusiokua na vyama walipita kuhimiza,Apo ndo upinzani ulikosea
Ndugu yangu mtu asikudanganye kuna kundi kubwa sana la wananchi wana vitambulisho vya kupigia kura lakini hawapigagi kura, sababu hata wakipiga kura, anatangazwa mtu ambaye hawakumchagua alafu hakuna hatua zozote za kudai haki zinazochukuliwa!
Sasa mwaka huu hali ni tofauti, watu wamepata matumaini kuwa wataletewa mtu waliyemchagua iwe kwa heri au kwa shari, CHADEMA wakishinda lazima watangazwe!
Hivyo jukumu letu lililobaki ni kuwahamasisha wote wenye sifa ya kupiga kura mwaka huu wasikose kwenda kupiga kura na wampigie Tundu Lissu!
 
Kama nilivyosema awali hatimaye tumeupata wa kishindo kikuu.
Unaweje kuelezea zile kura zilizokamatwa sehemu mbalimbali,
Udogo wa furaha na ushindi.
Mmezima Internet.
Excessive force hususani znz

Hii imekaaje?

Weka ushabiki pembeni
 
Back
Top Bottom