NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Kama mamvi alishinda itakuwa TL?!Gap kubwa kuna alizoondoka Nazo Slaa,Lowasa na Sumaye
Kuna za UKAWA walizoondoka nazo
Za UKAWA zaweza kuwa theluthi mbili kura milioni NNE kwa hiyo chadema inabaki na kura milioni Mbili zake
Hizo milioni sita za Lowasa sio mchezo Lisu hawezi kuzifikia hata afurukute vipi hazifikii kufikisha kura milioni hata tatu kwake itakuwa muujiza tena mkubwa mno na hauwezi kutokea
Usiwandanganye, mimi nilipiga kwa Lowassa kwa sababu nilikuwa nataka CCM iondoke madarakani. Sasa nimebaki CHADEMA na jura yangu! Wadanganye wajinga wenzio!Lowasa karudi CCM na kurazake milioni 6.ukijumlisha na za JPM kura milioni 8 za mwaka 2015 jumla ya kura zitakuwa milioni 14.
ukiongeza na kura milioni 5 za mfalme wa Argentina za mwaka huu jumla ya kura za JPM zitakuwa milioni 19.
akuna muda wakubembelezana hapa,ni spana tu.
Kakura kako kamoja bakinako,kuna warundi,wacongo,wanyarwanda wazambia,waganda,wamalawi n.k.mbona kura zipo nyingi tu zimezagaa kitaa.Usiwandanganye, mimi nilipiga kwa Lowassa kwa sababu nilikuwa nataka CCM iondoke madarakani. Sasa nimebaki CHADEMA na jura yangu! Wadanganye wajinga wenzio!
Kakura kako kamoja bakinako,kuna warundi,wacongo,wanyarwanda wazambia,waganda,wamalawi n.k.mbona kura zipo nyingi tu zimezagaa kitaa.
Safari hii tunawadhibiti, tusiyemfahamu mtaani hapigi kura!Kakura kako kamoja bakinako,kuna warundi,wacongo,wanyarwanda wazambia,waganda,wamalawi n.k.mbona kura zipo nyingi tu zimezagaa kitaa.
Sawa.Safari hii tunawadhibiti, tusiyemfahamu mtaani hapigi kura!
Ndugu yangu mtu asikudanganye kuna kundi kubwa sana la wananchi wana vitambulisho vya kupigia kura lakini hawapigagi kura, sababu hata wakipiga kura, anatangazwa mtu ambaye hawakumchagua alafu hakuna hatua zozote za kudai haki zinazochukuliwa!Kiukweli CCM walijitaidi Sana kuhimizana kujiandikisha kwenye daftari la mpiga kura,upinzani ulilega,kiasi ambacho wengi hawana kadi,ata tusiokua na vyama walipita kuhimiza,Apo ndo upinzani ulikosea
Asante sana comradeHongereni sana kwa hilo?
Naona ushindi wa Kishindo.Asante sana comrade
Kama nilivyosema awali hatimaye tumeupata wa kishindo kikuu.Naona ushindi wa Kishindo.
Unaweje kuelezea zile kura zilizokamatwa sehemu mbalimbali,Kama nilivyosema awali hatimaye tumeupata wa kishindo kikuu.