Sauti ya amani Member Joined Jul 19, 2022 Posts 64 Reaction score 89 Apr 13, 2023 #1 Wakuu napenda kuomba msaaada namna ya kutuma haya maombi ya ajira mpya ,je anwani za barua ni zipi?na kwa walioomba awali wanatumia mfumo upi asnth
Wakuu napenda kuomba msaaada namna ya kutuma haya maombi ya ajira mpya ,je anwani za barua ni zipi?na kwa walioomba awali wanatumia mfumo upi asnth
Superfly JF-Expert Member Joined Jul 14, 2013 Posts 985 Reaction score 2,066 Apr 13, 2023 #2 Ingia kwenye site ya Tamisemi.... Anuani imeandikwa chini kabisa kwenye tangazo. Application utaifanya mtandaoni
Ingia kwenye site ya Tamisemi.... Anuani imeandikwa chini kabisa kwenye tangazo. Application utaifanya mtandaoni
Superfly JF-Expert Member Joined Jul 14, 2013 Posts 985 Reaction score 2,066 Apr 13, 2023 #3 Tangazo hilo Attachments TANGAZO_LA_AJIRA_-_UALIMU_NA_AFYA_-_TAMISEMI_ APRILI, 2023.pdf TANGAZO_LA_AJIRA_-_UALIMU_NA_AFYA_-_TAMISEMI_ APRILI, 2023.pdf 206.8 KB · Views: 47
akili akili JF-Expert Member Joined May 5, 2014 Posts 1,737 Reaction score 1,102 Apr 16, 2023 #4 Msaada tutani, namjazi dogo hapa...hizi machaguo ya shule maximum ni mangapi?
niachiemimi JF-Expert Member Joined Feb 18, 2015 Posts 3,606 Reaction score 5,295 Apr 16, 2023 #5 akili akili said: Msaada tutani, namjazi dogo hapa...hizi machaguo ya shule maximum ni mangapi? Click to expand... Tano
akili akili said: Msaada tutani, namjazi dogo hapa...hizi machaguo ya shule maximum ni mangapi? Click to expand... Tano