Namna ya kuwaona wachawi kwa kutumia Kisamvu

Na wale wanaowachukua wenzao usiku wakiwa wamelala na kuwalimisha mashamba hapo inakuwaje
 
Nafanya hakika.
Hapa kwangu nna kibustani kina mihogo. Kitendea kazi nnacho.
Subiri mrejesho

🀣🀣🀣🀣🀣 sa alikua anamkatia nani nawe umelala chini🀣🀣🀣

Kumbe mti wa mhogo ni cctv ya kichawi, binadamu mna mamal
Sijui alifanya vile ili kunizubaisha nisikonsetreti macho yangu sehemu nyingine ili nimuangalie yeye tuu huenda kuna mengine ngeyaona.
 
Light and darkness zinategemeana.......christ...
 
🀣🀣🀣🀣🀣 sa alikua anamkatia nani nawe umelala chini🀣🀣🀣

Kumbe mti wa mhogo ni cctv ya kichawi, binadamu mna mambo
Leo na mimi najaribu namkata mtu kalio huko huko ndotoni😁😁
 
Mrejesho:
Jana nimerudi home saa 6 usiku, ila nilikuwa tungi hatari. Nikapita bustanini nikakata mti wa muhogo.
Nikausimamisha chumbani pembeni ya mlango.
Nimelala nimekuja kustuka saa 11 alfajiri sijaota wala sijaona chochote.

Najiuliza hapa, itakuwa wanga walisahau jana kunitembelea?

Au muda naingia walikuwa wananichora tu na mti wangu wa muhogo?

Au muhogo haufanyi kazi km ulivyo sema?

Au tungi ilichangia nisiwaone?
 
Rudia leo ukiwa haujanywa....
 
Nimecheka sana kwakweli Dah, ujinga huu
 
Basi huenda hakuna wachawi wanaokufuatilia mkuu
 
Sijaelewa Bado wakuu huo mti wa muhogo utakusaidia kuwaona kupitia ndoto au live ikitokea wameingia ndani ndio unawaona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…