Kongole Mhe. Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan. Umeifungua Tanzania, Watalii wanamiminika wa kutosha, umemwaga ajira, umepandisha madaraja kwa watumishi sasa ni neema tupu.
Umeboresha huduma za Jamii, sasa elimu bure Darasa la (I) kwanza hadi kidato cha Sita (VI) Mikopo ya kutosha kwa wanafunzi wa Elimu ya Juu.
Tunaimani kubwa na wewe, tutakulipa kwa imani. Tunakuombea, Mungu akuhifadhi, uchape kazi. Kazi kubwa umefanya na kazi inaendelea.
Hakuna Kilichosimama, Kazi Inaendelea.
Umeboresha huduma za Jamii, sasa elimu bure Darasa la (I) kwanza hadi kidato cha Sita (VI) Mikopo ya kutosha kwa wanafunzi wa Elimu ya Juu.
Tunaimani kubwa na wewe, tutakulipa kwa imani. Tunakuombea, Mungu akuhifadhi, uchape kazi. Kazi kubwa umefanya na kazi inaendelea.
Hakuna Kilichosimama, Kazi Inaendelea.