Prof Koboko
JF-Expert Member
- Aug 15, 2020
- 350
- 2,550
Rudia kumsoma tena.Kwa hiyo wewe mwenyewe hujui sharia?. Unataka kumpeleka RPCmahakamani kwa kitu usichokijua?.
Anyways, Nimeuliza nikijua pia kwamba bila katiba hata Mama asingekuwa Rais leo.
Kwahiyo mkuu mtu akitaka kumshtaki mwenzake ni lazima awe mwanasheria?Kwa hiyo wewe mwenyewe hujui sharia?. Unataka kumpeleka RPCmahakamani kwa kitu usichokijua?.
Anyways, Nimeuliza nikijua pia kwamba bila katiba hata Mama asingekuwa Rais leo.
Kitu gani hicho unachodai hakijui?Kwa hiyo wewe mwenyewe hujui sharia?. Unataka kumpeleka RPCmahakamani kwa kitu usichokijua?.
Anyways, Nimeuliza nikijua pia kwamba bila katiba hata Mama asingekuwa Rais leo.
DU PROFESOR MBONA KAMA UMEKURUPUKAKufuatia tamko lake la juzi kua makomando ya katiba ni kinyume na sheria kwamba ni haramu, ninakupenda kusema sasa tutakutana mahakamani ili aje kutoa kutoa tafsiri hiyo mahakamani mbele ya wanasheria pamoja na hakimu.
Kwahiyo mkuu mtu akitaka kumshtaki mwenzake ni lazima awe mwanasheria?
Wewe na wajinga wenzio gani?si lazima ujue unamshtaki kwa kifungu gan. si ndo maaana mkiulizwa kwanini mnataka katiba mpya hamjui basi tu imesemwa na nyie mnaunga
Nani amekuambia bila katiba hauwezi kuwa Rais, ukiwa mwanaccm na tume ya uchafuzi ikakutangaza umeshinda kwa asilimia 95 utakataa? Kura zinaweza zikafuata baadae.Kwa hiyo wewe mwenyewe hujui sharia?. Unataka kumpeleka RPCmahakamani kwa kitu usichokijua?.
Anyways, Nimeuliza nikijua pia kwamba bila katiba hata Mama asingekuwa Rais leo.
Wewe na wajinga wenzio gani?
Nimekula tayari boss na saivi namkula dadako.umekula mkuu ama unasubiria katiba mpya
Asante pacha, hilo jibu linahitaji tuzo za JF.Nimekula tayari boss na saivi namkula dadako.
Pacha mimi huwa nampa mtu jibu lile anataka maana. Lazima umserve customer kile amechagua kwenye menu.Asante pacha, hilo jibu linahitaji tuzo za JF.
Kuna watu wanauliza maswali humu JF kama vile wanatumia makalio ku type.
Ni kweli kabisa. Haya mpe ushauri akasimamishe niniKumsimamisha wakili mahakaman ni dalili ya kuangukia pua
Sent from my VFD 200 using JamiiForums mobile app
Wakili unamsimulia matatz yako uliyopitia akusaidie ila ww umejionea na unaujua ukwel kiundan mi sina cha kumshaul ajiongezeNi kweli kabisa. Haya mpe ushauri akasimamishe nini