Nampenda bado, lakini anatoa harufu sehemu za siri

UO NI UGONJWA
 
Ingekua ni. Mke wa mtu anachepuka ungesikia mawaidha mistari ya bible ila mwanaume hakuna anayekemea. hongereni
Hakuna sehemu kwenye biblia ambako umeona mwanamke akawa na waume zaidi ya mmoja, ila mwanaume anawake zaidi ya mmoja. Pia hakuna pahala ambapo mwanamume mzinzi amepewa misuko suko kwa kuwa na mwanamke mwingine, ila tunaona imeandikwa yule mwanamke amezungukwa ba watu wanataka kumpiga mawe.
 
Usishangae huyo mchepuko alikuwa hanuki kwa sabab ya tamaa zako Mungu wetu aliyekupa ndoa alichukizwa na kile ulichokuwa unafanya akaona abadili hali ya hewa ili uache zinaa unayoifanya lakin kwa kkibur chako hukutaka na kila ukitafuta mchepuko lazima anuke ,agano LA ndoa ulilofanya na mkeo litakutesa sana,unafikir mkeo hajui unachepuka,kwa kuwa tumeambiwa tuishi na wanaume kwa kuwavumilia, Kimbilio lake ni sala na maombi ndo maana unakutana na maharufu ya kipepo,badilika kaka kafanye toba haraka maana utapata mapigo mabaya kutokana na usaliti unaofanya, jarib kuwa na hofu ya Mungu
 
Sio kwl, kuvuka kw KE sio kufanya ngono kama wengi wanavyofikiria, ukwl ni huu, Kuna glands husika, Kuna serbasion Grand na sweat Grand, Sasa, sweat glang huhusika na utoaji w kemikali chafu kutoka kwny ini (ammonia) so, kama sweat Grand inamatatizo, basi kemikali hiyo inatoka kw njia y mkojo, Sasa inapokutana na tindikali uliyopo kwny uke, ambayo hii tindikali inasaidia kuua bacteria waingiao kwny uko usiaribu cervix y KE, Cous ikiharibu, basi Kuna hatari akipata mimba kuchoropoka, so ammonia +acide, u get unexpected smell kwny uke, solutions ni kuchk afya na Mazoezi
 
MCHEPUKO UNA RAHA YAKE ILA KWA HUYO NI KERO BUT NJIA NZURI NI KUMTAFUTIA SOLUTION YA TATIZO LAKE NA USIJE KUMPONDEA KWA ILO TATIZO LAKE BRO
 
Hebi sema kwanza ilikua inanukiaje? harufu ya Hudhurungi?kama ndiyo basi hoyo ndo kawaida na ndiyo ladha yake mkuu.ila yote kwa yote baki na mkeo,hizi michepuko zina shida sana sana
 

Kila la heri mkuu, we endelea naye tu unachokitafuta si mda mrefu utakipata, ila namuonea sana huruma mke wako

N.B NDOA NA IHESHIMIWE NA WATU WOTE
 
Mshawishi aende hospital hiyo ni fungus sugu, akipata matibabu sahihi atapona kabisa, utagegeda kwa raha mkuu no harufu kabisaaa
 
Hiyo harufu ni fungus sugu na usipoangali utamwambukiza mkeo ndo ukione cha mtema kuni.
Dose yake ni kuanzia mwezi na kuendelea.
 
Kila la heri mkuu, we endelea naye tu unachokitafuta si mda mrefu utakipata, ila namuonea sana huruma mke wako

N.B NDOA NA IHESHIMIWE NA WATU WOTE
Wewe una mke? Kama unae, umeoa lini?
 
Heshimu ndoa yako utamletea mkeo magonjwa kwa ujinga wako....
Sasa nenda tena akakuachie na wewe iyo harufu
 
Duhh... Umemzalilisha bhnaa
 
Mkuu puzzom,

Mimi huwa napenda sana hizo harufu kali na mbaya.

Kama hautojali naomba namba yake nitaenda nae hivyo hivyo kwa sababu nilishawahi kukumbana na shuruba zaidi ya hiyo harufu.
 
Mwanamke kutoa harufu huko chini isikiage tu hiyo . Mshauri aende kwa wataalamu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…