Nampenda bado, lakini anatoa harufu sehemu za siri

mwambie apende kula mananasi kwa wingi yanasaidia sana,me mwenyewe nilishawai kuwa na demu wangu mmoja alikuwa na ile fishy smell,sikuwahi kuja hapa JF nikaenda kwa bwana google ndipo nika pata hiyo tiba kwa kweli ilimsaidia sana..jaribu na wewe.
 
Tafuta makala inayoongelea hilo tatizo chanzo, madhara na tiba yake ichukue umtumie aisome halafu umwambie akuulize maswali katika kujibu utapata namna ya kumwambia na mtaenda hospital pamoja
 
Daah! Wanaume mna moyo!!! Sehemu inanuka uvundo bado unagegeda tu na kuenjoy juu [emoji3][emoji3][emoji3]

Mi nadhani kwa upendo tu ungemkalisha uongee nae. Atakuchukia ndio ila ujumbe umefika na ushamsaidia. Au mwandikie msg nini afanye harufu itoke... Kama kunywa sana juice ya nanasi na kunywa mtindi...
 
Wanaume tumeumbwa, matesooo, mateso, kuhangaikaaaa...
 
Huyo kashalielewa tatizo lake..
 
Kuna mtu alishakuja hapa jukwaani akaelezea juice ya nanasi!! Kuna ukweli hapo!
 
Na ukome kuna siku unanusa visivyonuswa. Tulia na ndoa yako unatafuta nini zaidi nyama ni ileile..
 
Wanaume tumeumbwa, matesooo, mateso, kuhangaikaaaa...
Tiri ri ri ri wapi TX..... huu mziki ulikua unafundisha sana na si ajabu jamaa alimpangishia nyumba ya maana. N.a hela anampatia dem na harufu ya uvundo dume anapatiwa... swadaacta hahahahahhahha
 
Nilkutana nae mmoja kwakuwa mi faza niliweza kumhandle ni simple tu...sheria namba 1.unatambua ananuka lkn tafuta pakupelekea lawama...kamwe usige mwambia ananuka sababu ananuka mwambie ananuka sababu atakuwa na maambukizi hivyo asihofu afanye mpango wa kwenda hospital au umsindikize...pili usichukulie serious sana ukiwa nae yaani muaminishe ni kawaida hiyo na zinatokea yan sio big deal...mi nakumbuka nilimwambia live kwa jinsi maumbile ya mwanamke yalivyo ni rhs kupata u.t.i na maambukizi mengine hivyo wahi nikusindikize hospital ila nilisubir km miezi 3 hv ndo nilimwambia ili akijisikia vby nisingizie hamna shida mbona mwezi yote hiyo nimelala na wewe....kitu cha msingi tafuta pakupeleka lawama usige mwambia mtoto wa watu wananuka kavu kavu bila sababu..itamuuma
Bas akawa mpole yan ht sikumwambia mambo ya kunuka k. Ila alijua tu na maanisha hiyo bas akaniambia naona aibu kwenda hospital na nimejaribu njia nyingi ila wapi...nkwambia huwez ishi hivo milele nakumbuka nkahonga 50000 akaenda hospital kweli alikuwa na infection akapona tuliachana sababu ya umalaya wangu wa ujanani..huwez shindwa kumuambia mwanamke kitu unachoshindwa ni saikolojia ya kumuingia...
 
Ingekua ni. Mke wa mtu anachepuka ungesikia mawaidha mistari ya bible ila mwanaume hakuna anayekemea. hongereni
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Mwanamke ni mwanamke uwezi kumlinganisha na mwanaume kwahiyo hatuwezi kwenda sawa hata siku moja
 
Hauna adabu, na bilashaka we we ni mulana
 
Wanawake wa vijijini huwa watamu sana wakiwa na hiyo harufu... maana utamu wa shimo harufu sio perfumes
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…