nikisikia sauti yake huwa napagawa and nikachukua hatua ya kumsaka kwa blog yake,kiukweli she is hot and naitaji awe myn. najua humu ndani wapo wanaomjua mpeni tu habari mr from a town nampenda......friends mnaeza nisaidia kwa kuniunganisha nae even nipate# zake.......I WISH TO BE WITH U DIVA AND THIS IS SERIOUS,IN NOT A CELEBRITY BUT I LOVE U.