Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaitwa fatma shimweta...dah nakapenda haka kadada jaman mie..mwenye more detail zake aziweke hapa wadau.....
Anaitwa fatma shimweta...dah nakapenda haka kadada jaman mie..mwenye more detail zake aziweke hapa wadau.....
Anaitwa fatma shimweta...dah nakapenda haka kadada jaman mie..mwenye more detail zake aziweke hapa wadau.....
vitu vingine kama hivi ungelitumia other alternatives kama google, facebook ama website ya star tv na ukatafuta 'contact us' ungepata full detail.
by the way, mnasema mapenzi ni upofu, unguza nauli mpaka mwanza umtafute binti wa watu, ila usijipe credit 100% kwamba utakubaliwa.
ngoja nikupe direction vizuri,
ofisi kuu za star tv na redio free africa ziko mwanza mjini kati kabisa ya jiji,
itafute New Mwanza hotel ama Gold crest, almost zote hizi ziko kwenye round about flani ambayo inaangaliana na jengo la PPF.
ukifika hapo kwenye mijengo niliyokutajia, itafute barabara inayoelekea stesheni (pembeni yake kuna kituo cha mafuta), ifuate hio barabara kama mita 30 hivi.
baada ya hapo, mkono wako wa kulia (kuwa makini sana, mwanza ni jiji unaweza potea) utaona bango kubwa la SAHARA COMMUNICATION MEDIA.
ingia ofisini kwa msaada zaidi. kuna mama mmoja hivi anahusika sana, anaweza kukusaidia!
karibu sana mwanza!!
hili nalo
Hivi yule binti yake alishajifungua? maana mara ya mwisho nilipokuwa naye Mwanza 2013 aliniambia anatarajia kupata mjukuu wake wa pili very soon!!!
ana mtoto mkubwa kiasi hiko..........
Huyu alikuwa mke wa Yahya Mohamed mtangazaji wa Star ambaye sasa yuko Azam TV,amezaa nae watoto 2 lakini waliachana kwa tabia zake za kutojiheshimu
Hamna..ni uvaluvalu tu kuanzia mama hadi motto!!
Sasa atapoteaje tena wkt ushatoa ramani.vitu vingine kama hivi ungelitumia other alternatives kama google, facebook ama website ya star tv na ukatafuta 'contact us' ungepata full detail.
by the way, mnasema mapenzi ni upofu, unguza nauli mpaka mwanza umtafute binti wa watu, ila usijipe credit 100% kwamba utakubaliwa.
ngoja nikupe direction vizuri,
ofisi kuu za star tv na redio free africa ziko mwanza mjini kati kabisa ya jiji,
itafute New Mwanza hotel ama Gold crest, almost zote hizi ziko kwenye round about flani ambayo inaangaliana na jengo la PPF.
ukifika hapo kwenye mijengo niliyokutajia, itafute barabara inayoelekea stesheni (pembeni yake kuna kituo cha mafuta), ifuate hio barabara kama mita 30 hivi.
baada ya hapo, mkono wako wa kulia (kuwa makini sana, mwanza ni jiji unaweza potea) utaona bango kubwa la SAHARA COMMUNICATION MEDIA.
ingia ofisini kwa msaada zaidi. kuna mama mmoja hivi anahusika sana, anaweza kukusaidia!
karibu sana mwanza!!
Yahya ndio alikuwa mume wake....huwa yuko smart sana huyo kaka.......very smart
vitu vingine kama hivi ungelitumia other alternatives kama google, facebook ama website ya star tv na ukatafuta 'contact us' ungepata full detail.
by the way, mnasema mapenzi ni upofu, unguza nauli mpaka mwanza umtafute binti wa watu, ila usijipe credit 100% kwamba utakubaliwa.
ngoja nikupe direction vizuri,
ofisi kuu za star tv na redio free africa ziko mwanza mjini kati kabisa ya jiji,
itafute New Mwanza hotel ama Gold crest, almost zote hizi ziko kwenye round about flani ambayo inaangaliana na jengo la PPF.
ukifika hapo kwenye mijengo niliyokutajia, itafute barabara inayoelekea stesheni (pembeni yake kuna kituo cha mafuta), ifuate hio barabara kama mita 30 hivi.
baada ya hapo, mkono wako wa kulia (kuwa makini sana, mwanza ni jiji unaweza potea) utaona bango kubwa la SAHARA COMMUNICATION MEDIA.
ingia ofisini kwa msaada zaidi. kuna mama mmoja hivi anahusika sana, anaweza kukusaidia!
karibu sana mwanza!!
Yahya Mohamed ni member mwenzetu hapa ngoja nimuite huku.
Unaonesha wewe mwanza ni mwnyeji sana eeh
Sasa atapoteaje tena wkt ushatoa ramani.