Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
Hahahaaa my wii hongera.... Pendo la agape hiloooo limekudondokea
unakumbuka kuna siku kama tulizinguana kidogo nlipokwambia kuwa we ni me ila unajidai ni ke?
hata cjui kwa nini ,labda kwa sababu tunafanana ID..nampenda tu lakin(SIYO KIMAPENZI BAUNGWANA MSINISHAMBULIE BURE)
NASISITIZA TENA SIY KMAPENZI MANA WATANGANYIKA MKISIKIA KUPENDA MNAWAZA MENGINE TU
yaani nlipokuja kujua tofauti nlikuwa mdogo kama piriton ndo ikabidi niombe radhi kwa kweli... kila nkiona id yako nakumbuka siku ile.. hahahahahahahile siku nakumbuka,nilijiuliza tu hivi
kwanini huyu Nicas Mtei kaniambia hivi.....
sikupataga majibu,but I can see the connection now
nadhani anamaanisha username
yaani nlipokuja kujua tofauti nlikuwa mdogo kama piriton ndo ikabidi niombe radhi kwa kweli... kila nkiona id yako nakumbuka siku ile.. hahahahahahah
Embe dodo chini ya Mbuyu! ngekewa hizo!
my wii mie yangu macho tu hapa
ngoja niendelee tu ku:coffee:
hahaaa ngoja nicheke tu mie hapa.......
ukawa unajua huyo me anatutega tu num ndani
refering to what!!!!!!!!!
Hiyo guest room haona buibui kwani . Hongera besthahaaa kuna guest room atalala huko.........
Hivi mtu kuwa handsome halafu kichwani unakuwa empty au uwe ugly alafu kichwani uwe safi ipi bora?
Hivi mtu kuwa handsome halafu kichwani unakuwa empty au uwe ugly alafu kichwani uwe safi ipi bora?
guneni tu wapendwa is the least you can do kwa sasa!!!!!!!!