ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Nimefuatilia thread zake Kuna moja alikuwa akiomba kitu akasema naombeni mnisaidie wapenzi....dume kuita wakuu wapenzi haiwezekani so Nina uhakika ni dame 100%kwann unadhani ni ke? mtakuja kushikishwa ukuta
Kweli Asante kunisahihisha sio genacandy NI genecandy kweli.....
NI Manzi na sio mchizi.nina uhakika nimefuatilia thread zake za nyuma.Huyo jamaa nilikua najua Ni I'd ya yule jamaa anaeitwa MALCOM LUMUMBA
Yeah somehow SI unajua girls huwa waoga kufunguka so vinabakia vitendo TU Kama hivyo [emoji2][emoji2][emoji2][emoji1787][emoji3][emoji23][emoji23][emoji39]Kwa hiyo mtu akikumwagia likes kila mara itakuwa anakukubali sana eti? Mi siamini hiyo kitu, naona tu mtu akikupa like ni vile anakubaliana na uchoposti...kumbe kuna vihisia vya upendo!!!
Nimefuatilia thread zake Kuna moja alikuwa akiomba kitu akasema naombeni mnisaidie wapenzi....dume kuita wakuu wapenzi haiwezekani so Nina uhakika ni dame 100%
[emoji28][emoji28][emoji23][emoji28][emoji23][emoji255][emoji255]asante mkuu japo hizo sifa hapo juu mmmmh wa kawaida sana;Mi ni ke wala hujakosea na nidada wa makamo [emoji4]hvyo unaeza kuwa mdgo wangu kabisa xo heshima yangu mkuu!!Kuna huyu mdada wa kuitwa genecandy kwanza nahisi atakuwa ana rangi flani ya kisomali Kama chura wa kwetu kule singidani/kondoa au Kama masalia ya kiarabu ya lindi A.Nampenda Sana kilichovunitia NI jinsi anavyofagilia comments zangu Sasa nauliza Kama na nyie kwenu huwa anapita pita na ku like maana me nikifikiria kwamba itakuwa NI kwangu tu.Nikitaka na Mimi kujilipua PM huenda nikaromba kimasihara kula tule utumbo hautupwi Tena utumbo ndizi kabisa.
Note:Chai tayari nimeshakunywa wakuu nasubiri mwongozo wenu wakuu.View attachment 2079121
ndio leo kuona una comment nikajua we ni roboti,,, pleas naomba namba yako nihakikishe kama ww si robot kwa kusikiliza sauti yako mkuu nikubalie niko single mimi alafu ni yatima kabisaaa sina mjomba wala binamu[emoji28][emoji28][emoji23][emoji28][emoji23][emoji255][emoji255]asante mkuu japo hizo sifa hapo juu mmmmh wa kawaida sana;Mi ni ke wala hujakosea na nidada wa makamo [emoji4]hvyo unaeza kuwa mdgo wangu kabisa xo heshima yangu mkuu!!
😀😀🤣ndio leo kuona una comment nikajua we ni roboti,,, pleas naomba namba yako nihakikishe kama ww si robot kwa kusikiliza sauti yako mkuu nikubalie niko single mimi alafu ni yatima kabisaaa sina mjomba wala binamu