ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Kuna huyu mdada wa kuitwa genecandy kwanza nahisi atakuwa ana rangi flani ya kisomali Kama chura wa kwetu kule singidani/kondoa au Kama masalia ya kiarabu ya lindi A.Nampenda Sana kilichovunitia NI jinsi anavyofagilia comments zangu Sasa nauliza Kama na nyie kwenu huwa anapita pita na ku like maana me nikifikiria kwamba itakuwa NI kwangu tu.Nikitaka na Mimi kujilipua PM huenda nikaromba kimasihara kula tule utumbo hautupwi Tena utumbo ndizi kabisa.
Note:Chai tayari nimeshakunywa wakuu nasubiri mwongozo wenu wakuu.
Note:Chai tayari nimeshakunywa wakuu nasubiri mwongozo wenu wakuu.