Nampenda huyu memba

Nampenda huyu memba

MrLove

Member
Joined
May 26, 2024
Posts
35
Reaction score
113
Naipenda hii. ID lakini ananipuuzia nikilike nyuzi zake yeye alike zangu, kila siku namquote namtaja jukwaani lakini anijibu moyo unauma namuona na wengine anacheka nao anawajibu PM kafunga nilimuomba afungue hajajibu sijui nilimfanyaje id yake inaanza na e.... Nataka awe mpaka mama wa watoto wangu.
 
Kuna uzi ulianzishwaga humu kichwa cha habari " Nakupenda mane.....".
Chini akasindikiza " acha tu nikikupata ntakupinda kwelikweli".
Sasa wewe mbona umeandika kinyonge namna hii.unaogopa nini?
Mchane bila hofu bhana .
 
Naipenda hii. Id lkn ananipuuzia nikilike nyuzi zake yy alike zangu, kila siku namquote namtaja jukwaani lkn anijibu moyo unauma namuona na wengine anacheka nao anawajibu pm kafunga nlmwamba afungue ajajibu sijui nlmfanyaje id yk inaanza na e.... Nataka awe mbaka mama wa watoto wngu
20240526_155227.jpg

Toka hapa acha kumsumbua manzi angu
 
Back
Top Bottom