Nampenda huyu memba

Nampenda huyu memba

Naipenda hii. Id lkn ananipuuzia nikilike nyuzi zake yy alike zangu, kila siku namquote namtaja jukwaani lkn anijibu moyo unauma namuona na wengine anacheka nao anawajibu pm kafunga nlmwamba afungue ajajibu sijui nlmfanyaje id yk inaanza na e.... Nataka awe mbaka mama wa watoto wngu
Ephen
 
Joanah wa jeiefu moyo wangu umekudondokea naomba unikubalie niwe wako wa ubani 😊😊😊

Hii ni intro ya uzi ujao wa kudondokeana mamioyo nitaouandika...
Wewe ukinitaka mbona chap tu
Huna haja ya kufikia kuandika uzi wala kubadili aidii 🤗
 
Back
Top Bottom