Unamaanisha mlango wake ni wa tembe ukikugusa kwa kidole tu chini mwambie nina mbao za mninga na mpodo achague anataka zipi
Huyo unayemuona sio RR ni mtu anatumia ID yake so wewe jiachie tu.... I mean tujiachie tu.
Jamaa yangu mmoja raia wa Guatemala alikwenda na suoervisor wake (wa kike, single) Guatemala wakati wa phase 2 ya PhD yake. Supervisor akarudi na mimba ambayo ilijulikana baadae kuwa ni ya yule mwanafunzi. Hii ilimgharimu yule jamaa kwani supervisor alilazimishwa na Bodi ya Chuo kuwa ajiondoe katika jukumu hilo, na kazi ya kupata supervisor mwingine ilichukua mwaka mzima!
Au muache tu tuubadilishe baada ya mwaka mmoja yaani 2012ntamwambia..na mlango wake wa gunia KUFULI YA NIN?
Na hivi leo Ijumaa full kujimwayamwayaok then..ngoja tujimwage siye
Dinner yangu vipi
Vocha mbona haujaniwekea kwenye simu
Mafuta kwenye gari mbona haujaniwekea
Bili ya umeme mbona haujanilipia
Kodi ya nyumba mbona haujanilipia inakaribia kuisha
Gari langu haujanipeleka service
Shopping mbona hatujaenda
Sina nadai haki yangu si unakumbuka kuwa ulisema utakuwa unanipa hivyo vitu vyote hebu muite yule lawyer wetu apitie tena yale makaratasi uone ulipoweka your signature usijifanye umesahau honey l.o.l unatakani :rip::rip::rip:mapemaHahahah lol
Kama kuolewa ndo hivi
daaahh I quite..lol
Yaani tokea Jumatano uko jikoni???
Angalia wale mbuzi kule zizini wasije wakaibiwahaya makande yamegoma kuiva.
Ngoja niendelee kupepea kuni.
Sina nadai haki yangu si unakumbuka kuwa ulisema utakuwa unanipa hivyo vitu vyote hebu muite yule lawyer wetu apitie tena yale makaratasi uone ulipoweka your signature usijifanye umesahau honey l.o.l unatakani :rip::rip::rip:mapema
hapo kwenye bluu nilitegemea hilo jibu l.o.lnashukuru
kusema ofisi ya lawyer
imewaka moto na makaratasi
yote yameungua..
sasa waonaje
nikutoe out leo ijumaa
tukajivinjari..
Sema ndio basi mpenzi..
khaaa tatizo nimekudekeza sana..
Angalia wale mbuzi kule zizini wasije wakaibiwa
ANGALIZO: Kimaadili ya kikazi (za ualimu vyuoni) kama unawezavumilia amalize kozi anayokufundisha ndo umtokee kwa sababu ukimweleza na mkawa wapenzi (au la) hatakiwi kukufundisha tena.
MAMMAMIA kwani hapa kwetu kuna kinachofuatwa basi?? Yaani ninashangaa sana sijui ni kitu gani ambacho tunakifanya na tunakifanya sawa.Duh! Kama ingekuwa maadaili haya yanafatwa vyuo vyetu vya TZ wanafunzi wengi wangekuwa hawana walimu, na walimu wengi wangekuwa na wanafunzi wachache!
Mhhhh!!! Mbuzi toleo gani hao aisee????mbuzi leo wamegoma kula majani wanataka nyama.
Mhhhh!!! Mbuzi toleo gani hao aisee????
Yaani hao mbuzi wa Mpwapwa ndio wako hivyosi unajua hawa mbuzi wa toleo la dot com.