Nampenda huyu Mhadhiri wa kike, sijui nimweleze au?

usiogope ukubwa wa samaki kaka ...we uliza bei

pengine huyo rekchara ni simple tu just like to push a drunkerd from a steep slope whose gradient is at infinity........
 
Umri wako wewe, una mzidi au ndo serengeti boy. Kama u serengeti vumilia tu, utapita, utampata mwingine umpendae.
 

Jipange kisha mtokee kama unashindwa kutongoza nicheck kwa PM nikutongozee wewe kazi yako kumega tu.
 
Nampenda kweli huyu mwanamke ndugu zangu, nipo mwaka wa tatu sasa, nadhan atakuwa na umri wa miaka 8 mbele yangu bt shep ipo normal, was was wangu nikitoswa Itaniuma sana, then anaweza NIDAKA CLASS!
 
Mweleze tu ila kama ni mkewa mtu mkimbie na mwone kama dadako au mamako mdogo, gusa kwingine siyo mke wa mtu!
 
vumilia bab.. maliza darasa lake then mwaga sera zako...

P.S kama ni mke wa mtu achana naye
 
Rusha karata yako kaka, ila zingatia ushauri wa wadau, coz kuna mawili yaweza tokea, kufelishwa au kuwini, so zoezi lako ni la kujitoa mhanga.
take care!
:love:
 
MAMMAMIA kwani hapa kwetu kuna kinachofuatwa basi?? Yaani ninashangaa sana sijui ni kitu gani ambacho tunakifanya na tunakifanya sawa.
Kwa kiwango kikubwa, inauma kusema lakini ndivyo ilivyo, hapa kwetu hatufati sheria wala maadili. Umeona humu kwa mfano, watu wanajisifia nyumba ndogo kama kwamba ni jambo la halali kabisa na sisi tunashangilia; walimu wanatembea na wasichana umri wa watoto au wajukuu wao na bado tunawapongeza. Heshima, sheria, maadili yako wapi!
 
Mkuu... kama umeona positive signs dat she is interested in you...... Go ahead... If not we kausha tu.. Kula kwa macho for the time being...
 

That is the way to fail
 
wadau c mnajua hawa warembo cku hzi wanavyosoma mapema, yan huwa anafundisha mwenzenu cjitambui kabisa, imagine huwa najilazimisha kuuliza maswali anione teh! Dah mapenz kitu cha hatari na ajabu sana. Hajaolewa ati, she is stil single.. Duh! Ucombe yakukute yaliyonikuta mwenzenu!
 
kama vipi mpotezee ata kukula kichwa...,au nenda meeda wapo wenye shepu kama yeye wengi tu ila hawana PHD!!
 
Ninavyofahamu ethics za academia zinakataza mapenzi kati ya mwalimu na mwanafunzi. Labda kuna system tofauti hapo chuoni kwenu.
 
Nampenda kweli huyu mwanamke ndugu zangu, nipo mwaka wa tatu sasa, nadhan atakuwa na umri wa miaka 8 mbele yangu bt shep ipo normal, was was wangu nikitoswa Itaniuma sana, then anaweza NIDAKA CLASS!

Vp kwani anakufundisha?
 
Yah ananifundisha Research Methodoloy teh! Ni lekchala wa class langu kabisa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…