Nampenda huyu Mhadhiri wa kike, sijui nimweleze au?

Nampenda huyu Mhadhiri wa kike, sijui nimweleze au?

Wewe naona umechoka na shule na unatafuta namna ya "kuliwa kichwa"..
 
Hivi yeye anajionea huruma kweli, sasa sijui tutamuonea huruma vipi Gagurito

Jamani
mwone huruma kidoncho
mybe THIS IS IT FOR HIM ...
Usiende tenA KULE
kwenye yale mafile
Kutoa siri zake basi..

Dahhh naona
ROSE1980
kasha kuajiri..
mmmhhh
 
uyu nilishampga informal interview ktambo sana
so namjua na ninamwamin KAZ ATAIWEZA..au sio baba?
yes ur......

Hahahah lol
mie sina shida
shida itatokea nikienda
shopping halafu hiyo credit card
I Declan..
Itabidi ni mwachishe kazi hahaha lol
 
Jamani
mwone huruma kidoncho
mybe THIS IS IT FOR HIM ...
Usiende tenA KULE
kwenye yale mafile
Kutoa siri zake basi..

Dahhh naona
ROSE1980
kasha kuajiri..
mmmhhh
They say if you are good at lying you should always remember very well what you lied otherwise it will lead you to a state of delusion
 
Hahahah lol
mie sina shida
shida itatokea nikienda
shopping halafu hiyo credit card
I Declan..
Itabidi ni mwachishe kazi hahaha lol
Halafu I wont judge him because i don't know him l.o.l
 
AD nipo ndugu yangu majukumu tu nawaza kuna demu mgeni kazini kwetu ananichekea baada ya kusoa hii thread nikaona na mie nimtokee :A S 2152:

Hahahahahahahah lol
Dahhh sijui nikwambie umtokee
ana PHD?
Hahahah lol

Nway I'm happy to hear from u..
 
soma shule wewe mambo hayo utayakuta tu ukubwani!acha tamaa mbele mauti nyuma!
 
Vumilia ukishamsoma na kuona kuwa anaingilika then jaribu kumuanza.Usimanze kwa speed sana bali taratibu ukiona anaingia line ndio unarusha makombora yako yote. Kama ana nia basi atakuelewa pengine na yeye anakupenda, ila kama ataona umemdharau basi inaweza kula kwako na chuo ukakiona kichungu.

Panga karata zako vizuri sana ili usije kupoteza mchezo. Ficha majoka yako mwanzoni then mchezo ukikolea ndio uyatoe....
 
Back
Top Bottom