Kapepo
JF-Expert Member
- Aug 14, 2015
- 1,066
- 1,194
Kuna msichana tumekuwa kwenye mahusiano tangu mwaka jana mwezi 11, ila kipindi chote icho hakuwa na imani na mimi kama nipo serious nae kwa sasa anadai ananipenda sana baada kugundua upendo wangu wa dhati kwake, tatizo linakuja kwa sasa ana ujauzito wa mwez mmoja kapachikwa na baharia mmoja huko buza na huyu binti kawaeleza ndugu zake ananipenda mimi na hataki kuwa na huyo baharia na jamaa hana mpango na iyo mimba,
nilichoamua kumwambia siwezi kuwa nae kwakua siwezi lea mtoto wa mtu pia nina safari ndefu katika maisha haya huyu binti hataki kunielewa kabisa ukweli ni kwamba nilikuwa na marengo nae mazuri tu ila hii hari aliyonayo imenikatisha mood kabisa ila yeye hataki kunielewa kwakweli nimejaribu kumsihi alee mimba yake na mchizi anadai anataka kuitoa hiyo mimba ili awe namimi nije kumuoa ukweli nipo njia panda sijui nawezaje kuishinda mtihani huu ukizingatia wazazi wake wamemkataza hasitoe hiyo mimba na huyu binti hataki kuelewa yeye anataka kuwa namimi na mimi siwezi lea mtoto wa jamaa kwa kweli nampenda sana ila huu mtihani umeninyima nguvu sijui nini nifanye
nilichoamua kumwambia siwezi kuwa nae kwakua siwezi lea mtoto wa mtu pia nina safari ndefu katika maisha haya huyu binti hataki kunielewa kabisa ukweli ni kwamba nilikuwa na marengo nae mazuri tu ila hii hari aliyonayo imenikatisha mood kabisa ila yeye hataki kunielewa kwakweli nimejaribu kumsihi alee mimba yake na mchizi anadai anataka kuitoa hiyo mimba ili awe namimi nije kumuoa ukweli nipo njia panda sijui nawezaje kuishinda mtihani huu ukizingatia wazazi wake wamemkataza hasitoe hiyo mimba na huyu binti hataki kuelewa yeye anataka kuwa namimi na mimi siwezi lea mtoto wa jamaa kwa kweli nampenda sana ila huu mtihani umeninyima nguvu sijui nini nifanye