Nampenda ila katiwa mimba

Nampenda ila katiwa mimba

Kuna msichana tumekuwa kwenye mahusiano tangu mwaka jana mwezi 11, ila kipindi chote icho hakuwa na imani na mimi kama nipo serious nae kwa sasa anadai ananipenda sana baada kugundua upendo wangu wa dhati kwake, tatizo linakuja kwa sasa ana ujauzito wa mwez mmoja kapachikwa na baharia mmoja huko buza na huyu binti kawaeleza ndugu zake ananipenda mimi na hataki kuwa na huyo baharia na jamaa hana mpango na iyo mimba,

nilichoamua kumwambia siwezi kuwa nae kwakua siwezi lea mtoto wa mtu pia nina safari ndefu katika maisha haya huyu binti hataki kunielewa kabisa ukweli ni kwamba nilikuwa na marengo nae mazuri tu ila hii hari aliyonayo imenikatisha mood kabisa ila yeye hataki kunielewa kwakweli nimejaribu kumsihi alee mimba yake na mchizi anadai anataka kuitoa hiyo mimba ili awe namimi nije kumuoa ukweli nipo njia panda sijui nawezaje kuishinda mtihani huu ukizingatia wazazi wake wamemkataza hasitoe hiyo mimba na huyu binti hataki kuelewa yeye anataka kuwa namimi na mimi siwezi lea mtoto wa jamaa kwa kweli nampenda sana ila huu mtihani umeninyima nguvu sijui nini nifanye
Mzee baba siyo kwamba anakupenda, ila anataafuta pa kuweka kambi baada ya huyi baharia kuonekana hana mpango. Yani wewe ni plan B umesea kabisa baharia hana mpango hata wa kulea mimba. Hapo si kwamba ana option bali wewe ndiye uliyebaki kama baharia angekubari kulea mimba amini wewe usingeambiwa hayo maneno.
 
Kuna msichana tumekuwa kwenye mahusiano tangu mwaka jana mwezi 11, ila kipindi chote icho hakuwa na imani na mimi kama nipo serious nae kwa sasa anadai ananipenda sana baada kugundua upendo wangu wa dhati kwake, tatizo linakuja kwa sasa ana ujauzito wa mwez mmoja kapachikwa na baharia mmoja huko buza na huyu binti kawaeleza ndugu zake ananipenda mimi na hataki kuwa na huyo baharia na jamaa hana mpango na iyo mimba,

nilichoamua kumwambia siwezi kuwa nae kwakua siwezi lea mtoto wa mtu pia nina safari ndefu katika maisha haya huyu binti hataki kunielewa kabisa ukweli ni kwamba nilikuwa na marengo nae mazuri tu ila hii hari aliyonayo imenikatisha mood kabisa ila yeye hataki kunielewa kwakweli nimejaribu kumsihi alee mimba yake na mchizi anadai anataka kuitoa hiyo mimba ili awe namimi nije kumuoa ukweli nipo njia panda sijui nawezaje kuishinda mtihani huu ukizingatia wazazi wake wamemkataza hasitoe hiyo mimba na huyu binti hataki kuelewa yeye anataka kuwa namimi na mimi siwezi lea mtoto wa jamaa kwa kweli nampenda sana ila huu mtihani umeninyima nguvu sijui nini nifanye
Huyo aliyemtia mimba akimuhitaji tena inakula kwako
 
Mzee baba siyo kwamba anakupenda, ila anataafuta pa kuweka kambi baada ya huyi baharia kuonekana hana mpango. Yani wewe ni plan B umesea kabisa baharia hana mpango hata wa kulea mimba. Hapo si kwamba ana option bali wewe ndiye uliyebaki kama baharia angekubari kulea mimba amini wewe usingeambiwa hayo maneno.
she's coming from poorest family na madai yake yeye ni kwamba before hakujua kwamba nampenda, sure mwanzo nilimchukulia tu nipite nae baadae ndio mapenzi yanakolea na msala huu umetokea, alisema before alikuwa anachukulia class yake na yangu tofaut ivyo siwezi mpenda but alipokuja gundua upendo wangu kwake ni wadhati ndipo ilikuwa too late keshapata mimba
 
Back
Top Bottom