Unatuchosha agghhrrr😕😕😠Anachosema kamwambia jamaa mimba imeharibika kwahiyo atajifungua vizuri tu alafu mtoto atalelewa na wazazi wake ili mimi niendelee nae nimuoe jamani mimi nisije rogwa tu huyu mtoto hataki kuniacha tena na kaapa haniachi
Piga chini huyoAnachosema kamwambia jamaa mimba imeharibika kwahiyo atajifungua vizuri tu alafu mtoto atalelewa na wazazi wake ili mimi niendelee nae nimuoe jamani mimi nisije rogwa tu huyu mtoto hataki kuniacha tena na kaapa haniachi
Sawa mkuu nimekupata hapa vizurui kipengele mkuuUsije ukaamini maelezo ya msichana hata siku moja akishazaa tu atarudisha mahaba kwa baharia wake na mabaharia wengine wewe endelea kupiga tu kama wapigaji wengine
Sent using Jamii Forums mobile app
tehe..tehee.......tehhee...... natamani ningekuwa kwenye nafasi yako!Kuna msichana tumekuwa kwenye mahusiano tangu mwaka jana mwezi 11, ila kipindi chote icho hakuwa na imani na mimi kama nipo serious nae kwa sasa anadai ananipenda sana baada kugundua upendo wangu wa dhati kwake, tatizo linakuja kwa sasa ana ujauzito wa mwez mmoja kapachikwa na baharia mmoja huko buza na huyu binti kawaeleza ndugu zake ananipenda mimi na hataki kuwa na huyo baharia na jamaa hana mpango na iyo mimba,
nilichoamua kumwambia siwezi kuwa nae kwakua siwezi lea mtoto wa mtu pia nina safari ndefu katika maisha haya huyu binti hataki kunielewa kabisa ukweli ni kwamba nilikuwa na marengo nae mazuri tu ila hii hari aliyonayo imenikatisha mood kabisa ila yeye hataki kunielewa kwakweli nimejaribu kumsihi alee mimba yake na mchizi anadai anataka kuitoa hiyo mimba ili awe namimi nije kumuoa ukweli nipo njia panda sijui nawezaje kuishinda mtihani huu ukizingatia wazazi wake wamemkataza hasitoe hiyo mimba na huyu binti hataki kuelewa yeye anataka kuwa namimi na mimi siwezi lea mtoto wa jamaa kwa kweli nampenda sana ila huu mtihani umeninyima nguvu sijui nini nifanye
Tatizo kuchapiwa mkuu jamaa atapasha sana vipolo ujuetehe..tehee.......tehhee...... natamani ningekuwa kwenye nafasi yako!
nakushauri kama unampenda kweli na unafikiri unamalengo naye endelea naye na mimba isitolewe kubali kulea mtoto wala usiogope ipo siku utalea wakwako pia.
bora huyo anamtoto mmoja kuliko kwenda kuoa hawa wanawake ambao watoto walikufa kwa kukusudia unakuta unaoa mwanamke tayari alishazaa watoto wanne lakini hakuwalea matokeo yake tunayajua hivyo kwa ushauri wangu kama anakufaa chukua.
Kesho saa 10 jioni huyu mleta mada tutamuwekea kikao kizito cha mabaharia kitaongozwa na ndugu GuDumeKwani Baharia Wa Buza anasemaje?
hilo haliepukiki sema kaka zako hatutangazi tu.Tatizo kuchapiwa mkuu jamaa atapasha sana vipolo ujue
Kuna mmoja nimemkuta nahali anatafuta mchumba au ndo huyo[emoji23] [emoji23][emoji23] Naomba mumuelekeze namna ya kuacha uzembe
Amepata upendo wa ghafla kwako ili umsaidie kulea mimba na mtoto mtarajiwa.Kuna msichana tumekuwa kwenye mahusiano tangu mwaka jana mwezi 11, ila kipindi chote icho hakuwa na imani na mimi kama nipo serious nae kwa sasa anadai ananipenda sana baada kugundua upendo wangu wa dhati kwake, tatizo linakuja kwa sasa ana ujauzito wa mwez mmoja kapachikwa na baharia mmoja huko buza na huyu binti kawaeleza ndugu zake ananipenda mimi na hataki kuwa na huyo baharia na jamaa hana mpango na iyo mimba,
nilichoamua kumwambia siwezi kuwa nae kwakua siwezi lea mtoto wa mtu pia nina safari ndefu katika maisha haya huyu binti hataki kunielewa kabisa ukweli ni kwamba nilikuwa na marengo nae mazuri tu ila hii hari aliyonayo imenikatisha mood kabisa ila yeye hataki kunielewa kwakweli nimejaribu kumsihi alee mimba yake na mchizi anadai anataka kuitoa hiyo mimba ili awe namimi nije kumuoa ukweli nipo njia panda sijui nawezaje kuishinda mtihani huu ukizingatia wazazi wake wamemkataza hasitoe hiyo mimba na huyu binti hataki kuelewa yeye anataka kuwa namimi na mimi siwezi lea mtoto wa jamaa kwa kweli nampenda sana ila huu mtihani umeninyima nguvu sijui nini nifanye
Hhahahahaa hapana siyeye mkuu ila hawa mademu bana hawa dahKuna mmoja nimemkuta nahali anatafuta mchumba au ndo huyoView attachment 1371699
Sent using Jamii Forums mobile app
Hhahhhahahhah eti mimi ni mjamzito!Kuna mmoja nimemkuta nahali anatafuta mchumba au ndo huyoView attachment 1371699
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi huyu wangu nampenda ila ameshaolewa.Kuna msichana tumekuwa kwenye mahusiano tangu mwaka jana mwezi 11, ila kipindi chote icho hakuwa na imani na mimi kama nipo serious nae kwa sasa anadai ananipenda sana baada kugundua upendo wangu wa dhati kwake, tatizo linakuja kwa sasa ana ujauzito wa mwez mmoja kapachikwa na baharia mmoja huko buza na huyu binti kawaeleza ndugu zake ananipenda mimi na hataki kuwa na huyo baharia na jamaa hana mpango na iyo mimba,
nilichoamua kumwambia siwezi kuwa nae kwakua siwezi lea mtoto wa mtu pia nina safari ndefu katika maisha haya huyu binti hataki kunielewa kabisa ukweli ni kwamba nilikuwa na marengo nae mazuri tu ila hii hari aliyonayo imenikatisha mood kabisa ila yeye hataki kunielewa kwakweli nimejaribu kumsihi alee mimba yake na mchizi anadai anataka kuitoa hiyo mimba ili awe namimi nije kumuoa ukweli nipo njia panda sijui nawezaje kuishinda mtihani huu ukizingatia wazazi wake wamemkataza hasitoe hiyo mimba na huyu binti hataki kuelewa yeye anataka kuwa namimi na mimi siwezi lea mtoto wa jamaa kwa kweli nampenda sana ila huu mtihani umeninyima nguvu sijui nini nifanye
Nawezaje kukaa nae mbali wakati moyo wangu unampenda mpaka naumwa mafuaHahah dah sasa mkuu mke wa mtu sumu kaa nae mbali
siwezi mkuu nimeamua kumove mbeleKitendo cha kumkubali huyo mchizi huenda kuna mambo ambayo huyawezi ! Ujue kwamba hata ukimuoa atatoka nje ! Kama umezidiwa , penda boga na ua lake
Sent using Jamii Forums mobile app