Nampenda ila kila nikichat nae kwa sms ananiita "bro"

Naona kama unakta tamaa mapema. Mimi ilinichukua miaka miwili kupata jibu la ndiyo kutoka kwa mchumba wangu ambaye sasa ni Mke wangu. Uwe mvumilivu tu mambo mazuri hayahitaji haraka
 
Asa unaogopa nini kutiririka? Mwanaume zake ni-vibuti bwana! Wagoshi tunasema tihrihrika mjomba!
 
Kabla ya yote lakini ni vema kucheki tuko wangapi kiongozi then swaga zifuate.
 
tatizo vijana wasikuhizi kutongo hamjui,mara sms, Fb,eskimi na social network kama hizi,enzi zetu hatuwa na vyote hivyo tulikuwa tunachana live.naamini nikifungua kozi ya kutongoza nitapata wengi sana.
 
Afunguke na amwambie anampenda kwani tatizo ni nini?
Mwambie ukiongea nae unakua na amani na una wish ungekua nae karibu24/7 na popote unapokwenda yuko mawazoni mwako.
 
Imeshakula kwako,umeshamfanya amekuwa zaidi ya rafiki sasa ni dada na kwamaelezo yako cdhani kama unaweza kumbadilisha.
Ili usizidi kuumia moyo kubali kwamba yeye ni dada yako maana naona ulitaka utongozwe bila hata kumfanya awe interested na wewe!.....
 
sasa kaka akuite nani wakati bado si wapenzi me naona anahaki ya kukuita bro
 
Hivi vijana wa siku hizi wana matatizo gani??!!! Mbona mi sioni tatizo hapo
 
Funguka kabla hujachelewa mwambie ukweli umri siyo tatizo sana ktk uhusiano
 
Kaka unachelewa piga mistari ataeleweka tuu ukichelewa akienda chuo utamsikia tuu, na uckate tamaa kaka mambo haya ni slowly bhana we piga kambi faster.
 

Una element mbaya kichwani mwako wewe! Any way 'Who Cares'?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…