Nampenda ila kila nikichat nae kwa sms ananiita "bro"

anza na my lovely sister...
halafu unakuja na my lovely friend
mwisho unakuja na my sweety
halafu unamalizia na my sexy n lovely girl...
taraatibu ataelewa
Hii mistari nimeipenda,ngoja niicopy nikaifanyie test bcoz ata mimi kuna kidemu cha form1 kinanizingua kwa kuniita bro wakati mie nataka nikipeleke Duniani.

!
 
kuna maeneo machache sana wapaswa kumwambia,siwezi yasema humu lakini,pole tehtehe,ukishindwa kabisa,ni PM
 
Kauzu zaidi ya dagaa
 
ama zake ama zako!
nawashukuru kwa wote mliochangia kwa nia njema kama mimi nilivowasilisha hapa kwa nia njema na safi kabisa.......NINA KWENDA KUCHANGANYA NA ZA KWANGU,USHINDI LAZIMA
NITARUDI KUTOA MAJIBU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…