Idd Ninga
JF-Expert Member
- Nov 18, 2012
- 5,497
- 4,775
Ni mtoto mmoja mzuri sana hapa mtaani.
mashallah,ameumbika na sura yake inavutia.
baada ya kumuona ona mtaani akipita pita niliamua kurusha ndoano na samaki akajileta.
ila sasa kwa siku ya tatu toka alipokubali nimempa masharti yafuatayo:
=kwanza afute make up yake yote na akae siku mbili bila ya kujikwatua ili nimjue kama ni mzuri au ni mvunja dressing table tu.
=sharti la pili,nataka kumuona anapotoka ushingizini anakuaje.
asipofanya yote hayo nambwaga puuuuu.
#HATUTAKI-WANAWAKE-LIVE .
mashallah,ameumbika na sura yake inavutia.
baada ya kumuona ona mtaani akipita pita niliamua kurusha ndoano na samaki akajileta.
ila sasa kwa siku ya tatu toka alipokubali nimempa masharti yafuatayo:
=kwanza afute make up yake yote na akae siku mbili bila ya kujikwatua ili nimjue kama ni mzuri au ni mvunja dressing table tu.
=sharti la pili,nataka kumuona anapotoka ushingizini anakuaje.
asipofanya yote hayo nambwaga puuuuu.
#HATUTAKI-WANAWAKE-LIVE .