Bwire Emanuel
Member
- Jan 29, 2013
- 25
- 7
Nimetokea kumpenda msichana mmoja hivi, kiukweli anavutia. Tatizo langu nikwamba naogopa kumwambia. Dada huyo anafanya kazi crdb geita. Nifanye nini? Kila nikimuona mo yo unafanya Pah! Dah amakweli mapenzi ugonjwa.
Azima Ipad, piga suti ya Nguvu nenda dirishani kwake deposit 10M hata iwe ya kuazima halafu kesho yake unaitoa unamrudishia mwenyewe. wakati yeye anakuwekea pesa wewe act una browse kwenye Ipad hata km haina bundle lazima ule mzigo hachomoi kabsaa
Nimetokea kumpenda msichana mmoja hivi, kiukweli anavutia. Tatizo langu nikwamba naogopa kumwambia. Dada huyo anafanya kazi crdb geita. Nifanye nini? Kila nikimuona mo yo unafanya Pah! Dah amakweli mapenzi ugonjwa.