Bwire Emanuel
Member
- Jan 29, 2013
- 25
- 7
Nimetokea kumpenda msichana mmoja hivi, kiukweli anavutia. Tatizo langu nikwamba naogopa kumwambia. Dada huyo anafanya kazi crdb geita. Nifanye nini? Kila nikimuona mo yo unafanya Pah! Dah amakweli mapenzi ugonjwa.