Nampenda ,lakini wivu wake ni balaaa

babyline

New Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
2
Reaction score
0
hataki,nipigiwe simu na rafiki yeyote wa kiume awe class mate,work mates,school mates,my homme friends...oooh! ushauri nifanyeje,vile anatamani hata mail zangu zote asome kama kuna mwamume hapo...ila nampenda wivu wake kero kero....naye anipenda sana sana...
 
Mkalishe umweleze huo wivu unakuboa.
kama haelewi, chagua kusuka au kunyoa.
 
Wanasema ukipenda booga,penda na ua lakee
 
Kama anakupenda na unampenda waambie ukweli hao rafiki zako wa kiume waache mazoea na wewe.
 
I am not sure if that is the health behaviour to a relationship! Sijaju mko kwenye status ipi ya uhusiano, na sijui mna mpango gani, ila nafikiri kama hiyo tabia isipobadilika na bahati mbaya ikizidi, unaweza shindwa kumantain maisha hayo siyo marahisi,since you need male and female relatives to keep your social going!
 
Wivu ni mzuri but ukizidi ni kero sana,solution ni yeye kubadilika au wewe kujiadjust apendavyo!
 
Urafiki wa mwanaume na mwanamke wasio na undugu kuna wakati ukivuka mpaka unashtukia watu wame do..unaanza taratibu then siku yanageuka,so mshikaji anahofia na pia huenda alishawahi kutendwa huko awali kwa style hizo hizo za class mate,ni rafiki tu,au work mate,mwisho wa siku akakuta mate anakula mate
 
Mapenzi ya kweli, lazma wivu uwepo. Ukikimthamini mtu, lazma wivu uwepo. Jichunguze unachat vp na hao rafiki? Wakikucol unaongeaje nao? Ukiwa na mpnz wako thn ukakutana na rafiki yako, unawasalimiaje? Hivi ndivyo vimpavyo presha . Anatambua mapenz mengi huanza kwa jst cmpo smiles, salam nyng etc. Jarb kurekebsha hayo kwanza.
 
Mapenzi ya kweli lazima yawe na wivu. Kwahiyo kama mtu ana wivu na wewe ni ishara tosha kuwa anakupenda. Ila ni vema ukumbuke kuwa uhusiano wowote ule wa kimapenzi unaletwa na mawasiliano kati ya watu wawili. Kama unapigiwa simu na classmate au work mates ina maanisha mna mawasialiano ambayo yanaweza kuleta mapenzi kati yenu. Ni lazima kuwe na mipaka, sidhani kama ni sahihi kwa work mates au classmates kukupigia simu au kuchat kila mara, hili ni hatari na kama mpenzi wako haoni wivu basi hakupendi. Jiulize je ni sahihi kwa huyo mvulana wako kuchat na classmates zake kila mara?hupati wivu?

Kwa kifupi mazoea ni mabaya na yanaweza kukuharibia maisha yako yote ni vema ukawa na mipaka na ukaconcentrate na huyo mpenzi wako kuliko hao marafiki wengine ambao wanakutaka kwa kupitia mawasiliano ya mara kwa mara. Ila kama unataka kuwa malaya endelea kuchat nao na majibu yake utayapata muda muafaka.
 
mapenzi ni kuaminiana sasa huyo anayekuwa na mashaka muda wote juu yako si balaa au huaminiki ana hofia mwenendo wako?
Akiendelea hivyo itakuwa balaa ni future kwakuwa huwezi ishi bila ku interact na watu wengne ambao ni tofauti na jinsia yako ina maana mtakuwa mkigombana kila wakati.

Muonesha wivu ndiye mwenye mapenzi ya dhati kwa mwenzi, lakini too much inakuwa kero try to talk to him
 
kama ni mchumba au mume, vumilia, ila kama ni kiji boyfriend tu ambacho hakuna commitments, kazi ipo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…