Nampenda Lakini...??

Kinachoshangaza unakuta kwa miaka 15 baadae huyu mwanamke anaendelea kuua watu na mizimu yake duu🤮🤮
 
Dah! Leo ni member wa 4 nakutana nae akiwa amefariki 😲 kwangu kuna usalama kweli?
 
Umeota nini usiku wa jana?
Mwewe kabeba kuku Hadi juu kabisa baadae mwewe akashuka bandani Tena na yule kuku kumbe juu ya mwewe kulikua na jogoo Tena!yaani kuku kwa chini jike halafu jogoo juu ya mgongo wa mwewe!nikamuona wife anatoka kwenda kucheki! Nikashtuka!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…