Sharobaro la jf
JF-Expert Member
- Apr 23, 2020
- 237
- 325
Mfuate PMKama kichwa cha habari kinavyosema, nimetokea kumuelewa huyu member wa humu Jf, anaeitwa ledada, Kama utaisoma hii posti ledada jua nakuelewa sana, na npo tayari kukuoa kwa gharama yoyote ile, nakupenda
Na wako unafuata soon..ledada kuna ujumbe wako huku wahiii tena bado wa motooo. 😆
Kuna namba unayo..!!! Basi atamsikia bombani tuTukupe namba yake?
ndiooTukupe namba yake?
Kuyajua haya, inahitaji uwe na hisia za mtoa madaledada unaitwa huku my sister naona naelekea kupata mshemeji..
Nendeni uvunguni muyajenge tule pilau sisi..😋
Lkn mkuu utamuweza kweli maana dada yangu huyu ni dada dada kweli! Toto toto yeye sio figure ya mwendo kasi,Bali figure ya figunye na Toto tamu ya kiafrika kwa manjonjo na kadharika..😅
Jipange ndugu nakutakia heri na dada yangu huyu wa hiari..
We jamaa kuwa makini. Ledada ni bonge la dume. Usijesema sikukushauri yatakapokutokeaKama kichwa cha habari kinavyosema, nimetokea kumuelewa huyu member wa humu Jf, anaeitwa ledada, Kama utaisoma hii posti ledada jua nakuelewa sana, na npo tayari kukuoa kwa gharama yoyote ile, nakupenda
Mambo ya kifamilia haya.. we kama mbute unatakiwa usubiri tu kauli.Kuyajua haya, inahitaji uwe na hisia za mtoa mada
Familia ya JF wallahMambo ya kifamilia haya.. we kama mbute unatakiwa usubiri tu kauli.
Tulia sasa kama kobe baharia.Familia ya JF wallah
Kaka angu naona unaninyooshea na kunipindishia mambo🤣🤣🤣ledada unaitwa huku my sister naona naelekea kupata mshemeji..
Nendeni uvunguni muyajenge tule pilau sisi..😋
Lkn mkuu utamuweza kweli maana dada yangu huyu ni dada dada kweli! Toto toto yeye sio figure ya mwendo kasi,Bali figure ya figunye na Toto tamu ya kiafrika kwa manjonjo na kadharika..😅
Jipange ndugu nakutakia heri na dada yangu huyu wa hiari..
My babuu,hutaki mkwe jamani🤣We jamaa kuwa makini. Ledada ni bonge la dume. Usijesema sikukushauri yatakapokutokea