Bandiwe
JF-Expert Member
- Oct 19, 2013
- 9,530
- 3,556
....duuh bado tatizo huoni !?nilitakiwa niandike vp mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
....duuh bado tatizo huoni !?nilitakiwa niandike vp mkuu
Mmh! Ndiye huyu?? Na hapo ndiyo kamaliza makeup zote na mapozi?
Sipati picha hao wengine wakoje kama huyo ndio kinarà.Hana mtu na ni bikra..
Ni mrembo kuliko watangazaji wa kike kwenye radio nchini...
....daah ! Ruge tena !?Chakura ya ruge
Haa...haaa...haaa ! Umeamua kujibebea kiroba.Mdau ukifanikiwa niunganishie na Babra Hassan
Hata mimi nilipomuona kwa mara ya kwanza kwenye runinga ila sauti ndiyo iliyonipa uhakika. Sikuamini kwakweli, sauti na muonekano ni paka na panya.Mkuu nakuunga mkono saut yake Nzur sana ILA Sura mkuu mm hanivutii kbs
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Haa...haaa...haaa ! Umeamua kujibebea kiroba.
Merital statusnilitakiwa niandike vp mkuu
Unampotosha !Merital status
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji41] [emoji41]Mdau ukifanikiwa niunganishie na Babra Hassan
Ngoja awabake !!! [emoji15] [emoji725] [emoji85] [emoji87]Tunao mzimia demu huyu wengi
Nlikosea spelling, ni marital not meritalUnampotosha !
Ndo kumpotosha hivyo !Nlikosea spelling, ni marital not merital
We jamaa vp ,kwani mi Mungu nisikosee??!!!!!Ndo kumpotosha hivyo !