Nampenda Mamy Baby wa XXL clouds FM

Daaaah.. Kweli we dare to talk openly.. Yani hii coment imenipotezea dira sijui nilitaka kusemaje bwana mkubwa
....niliwahi kumuana kavaa bukta !
Aiseeh weka mbali na watoto.
 
Kwa domo hilo km mamba halafu kuna mtu kazimika!
Kweli ukipenda chongo unaita kengeza.
 
Mwenye kujua marital status yake anieleze kaolewa ama pia kama kuna yeyote ana namba yake nombeni wadau am serious about this .
Au akipitia huu uzi anitafute kwa hii no
0628926348
I see. Mamy huyu huyu aliekuwa EA Fm?
Beauty is in the eyez of the beholder.
 
Kweli ndege hutua kwenye mti aupenda.huyo Dada hana maajabu yeyote.kweli sisi tumetofautiana kimtazamo na kimatamanio.mimi nampenda. Ummy mwalimu waziri wa afya,mwenye namba yake plz
 
Hakika mapenzi ni upofu, kila la kheri Chief, kula kitu roho inapenda
 
Kumbe kazuri eeh! Mi nakisikilizaga vile kanaongea kitotototo basi daaah!
Nyumba bila ‘choo’ mkuu kazi bure tu asee.
We c umeona ‘choo’ chake cha 'shimo’ sasa unadhani hiyo nyumba ina uzuri gani?
 
[emoji38][emoji38][emoji38]...
Mkuu kama ni kweli huyu jamaa si atakuwa ana uwezo wa kujaza mwendokasi hata kumi!!!?????...
Kwa kweli mana kila demu anakula yeye, wasanii wafanyakazi wake. Mmh nahisi wana msingizia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…