Nampenda Mbitiyanza

Taratibu mkuuu,
Mimi niliwahi nasubiri mwisho wa mwezi ufike niende PM tukabonge ingawa kaolewa ila sitorudi nyuma kamwe nitapambana tuu.
 
Hahahahaha lol! Umenikumbusha uzi mmoja humu jamaa alimuanzishia mrembo mmoja humu na uzi ule ulikuwa mrefu sana huku wengi wakimshinikiza mrembo akubali. Binti alikuwa anaelekea kukubali kuingia kwenye anga za jamaa. Njemba moja humu ikafanya yake mrembo hakutoa jibu na mchezo ukaishia hapo. Ngoja ngoja utakuta mwana si wako.

Taratibu mkuuu,
Mimi niliwahi nasubiri mwisho wa mwezi ufike niende PM tukabonge ingawa kaolewa ila sitorudi nyuma kamwe nitapambana tuu.
 
Jina lenyewe sijui km lipo sawa hapo juu
 
Hawa wametumwa?!!,
Kumbe na humu kuna Ku copy&Ku paste?!
Mods waunganishe huu Uzi na ule wa mwanzo Hawa waanzishaji wa huu Uzi watakua wamepotea
Badala ya kwenda airport wameenda bandarini kumsubiri mgeni wao MBITIYAZA kumpokea anaekuja na Fast Jet
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…