Soon itakuwa inafika hadi mgororo na kibaoni beeee
Niliposoma kichwa cha habari haraka haraka nilidhani anagajwa mbutananga??
Duuh ni manini vile...matoko, mathrogho
Mmenogesha kweli kweli na kilugha chenu kigumu ...
Aisee mkuu shemeji kwa nani tena?
Mimi nipo uheheni hapa mwaka wa tatu tu, naishia kujua kamwene nofuwela[emoji14] [emoji14] [emoji14]kihehe nui kirahis sana !kuliko kisukuma ! nawapenda sana wahehe jaman !
Yeah mkuuMkuu, umenichekesha, nilijua uta react .... ha ha ha!!!!!