Nampenda mchepuko wangu kuliko mke wangu

Nampenda mchepuko wangu kuliko mke wangu

kwisha

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2021
Posts
1,779
Reaction score
4,982
Pamoja na kuwa katika dunia ya sasa imekuwa vigumu saana kumpata mwanamke au mwanaume ambaye anatambua nafasi yake vizuri, yaani kama ni mwanamke anajua mwanaume na mwanamke hawako sawa, kama walivyo kuwa mama zetu wa zamani.

Lakini kuna mwanamke nimempata nilimtongoza kwa nia ya kutaka kula mawese tu ila kwa kadiri siku zinavyokwenda huyu mwanamke ananivutia saana kwa tabia yake.

Ni mwanamke mmoja mwenye tabia fulani ya kidini hivi mpaka najuta kabisa kumuona; nyuma labda yeye ndo angekuwa mke wangu. Hivi
Kibaya nina mke na wala hajui maana nilimdanganya kuwa sijawahi kuoa kabisa mimi ni bachela ila nimenogewa kabisa.

Mpaka hapa nilipo natamani mke wangu anichiti ili nipate sababu ya kumuacha nimechoka na mapenzi ya kesi kila kukicha.

Dunia raha
 
3c11c7ca-d365-47bb-952a-ced4a5623a17.jpg
 
[emoji23][emoji23][emoji23] hehehehe manake kwanza ‘em mi ncheke. Hapo penzi limekolea kushaurika ni vigumu maana utatuona sisi ni vikaragosi, ila Tambua kabisa kwamba Wanawake wote huwa ni Kama malaika wanaotoka kukizunguka kiti cha Enzi cha Baba kabla ya kuanza kuishi nae. Ukianza kuishi nae ndio atayatoa makucha yake.

Yaani akishajihakikishia kwamba sasa ni officially mume na mke baba ishi kwa akili mara mbili ya mwanzoni. Mwanamke akikuuliza swali tayari majibu anayo. Sasa we jichanganye tu kujibu kila swali. In short usimwache mkeo, mpende rekebisheni kasoro life lisonge.
 
Pamoja na kuwa katika dunia ya sasa imekuwa vigumu saana kumpata mwanamke au mwanaume ambaye ana tambuwa nafasi yake vizuri yaani kama ni mwanamke anajua mwanaume na mwanamke hawako sawa , kama walivyo kuwa mama zetu wa zamani
Lakini kuna mwanamke nimempata nilimtongoza kwa nia ya kutaka kula mawese tu ila kwa kadiri siku zinavyo kwenda huyu mwanamke ana ni vutia saana kwa tabia yake ni mwanamke mmoja mwenye tabia fulani ya kidini hivi mpaka najuta kabisa kumuona nyuma labda yeye ndo angekuwa mke wangu hivi
Kibaya nina mke na wala hajui maana nilimdanganya kuwa sijawahi kuoa kabisa mimi ni bachela ila nimenogewa kabisa
Mpaka hapa nilipo natamani mke wangu anichiti ili nipate sababu ya kumuacha nimechoka na mapenzi ya kesi kila kukicha

Dunia raha
Ndoa ni uvumilivu mkuu.

Huyo hawara unayemuona wife material, ukimsogeza ndani na ajihakikishie pasina shaka kuwa kweli kawa mkeo, amini nakwambia anaweza kubadilika takribani 50% ya unavyomuona sasa hadi ukamshangaa.

Kama ni suala la maudhi na kero za mkeo, mbona sasa ulikuwa ndiyo umezipatia ufumbuzi bila ya kushawishiwa na mtu?

Ingawa sishauri sana jambo hili, lakini mwanamke kumpenda kimapenzi siyo lazima umuoe, zingatia hilo na ulipigie mstari.

Waweza kumuweka katika mazingira ambayo atakuwa stress remover wako wa kudumu naye akabaki na furaha tele moyoni mwake siku zote.

Hayo yapo na watu wanayaishi, huyo mkeo usimfukuze wala kumtafutia sababu, mwache aishi na kulea watoto wake bila misuko suko.
 
Omba sana Mungu mchepuko ana target zake lazima umuone mzuri kuliko mkeo.
 
Pamoja na kuwa katika dunia ya sasa imekuwa vigumu saana kumpata mwanamke au mwanaume ambaye ana tambuwa nafasi yake vizuri yaani kama ni mwanamke anajua mwanaume na mwanamke hawako sawa , kama walivyo kuwa mama zetu wa zamani
Lakini kuna mwanamke nimempata nilimtongoza kwa nia ya kutaka kula mawese tu ila kwa kadiri siku zinavyo kwenda huyu mwanamke ana ni vutia saana kwa tabia yake ni mwanamke mmoja mwenye tabia fulani ya kidini hivi mpaka najuta kabisa kumuona nyuma labda yeye ndo angekuwa mke wangu hivi
Kibaya nina mke na wala hajui maana nilimdanganya kuwa sijawahi kuoa kabisa mimi ni bachela ila nimenogewa kabisa
Mpaka hapa nilipo natamani mke wangu anichiti ili nipate sababu ya kumuacha nimechoka na mapenzi ya kesi kila kukicha

Dunia raha
Kama anaonekana mwenye dini mbona anazini?
 
"Choosing a path is easy, dealing with repercussions is not." Terry 'Southwest Tee' Flenory - BMF
 
Inaweza kutokea!

Wengine huwa wanaolewa baada ya kuwatokea wachumba zao,

Wakishaolewa dawa zikachuja Mwanaume anastuka na kuona Mbona hamfai?!
 
Wanawake ukishamuoa ndo anaona kamaliza Kila kitu, ndo anakufrahisha sasa wanasema watoto wa mjini
 
Pamoja na kuwa katika dunia ya sasa imekuwa vigumu saana kumpata mwanamke au mwanaume ambaye ana tambuwa nafasi yake vizuri yaani kama ni mwanamke anajua mwanaume na mwanamke hawako sawa , kama walivyo kuwa mama zetu wa zamani
Lakini kuna mwanamke nimempata nilimtongoza kwa nia ya kutaka kula mawese tu ila kwa kadiri siku zinavyo kwenda huyu mwanamke ana ni vutia saana kwa tabia yake ni mwanamke mmoja mwenye tabia fulani ya kidini hivi mpaka najuta kabisa kumuona nyuma labda yeye ndo angekuwa mke wangu hivi
Kibaya nina mke na wala hajui maana nilimdanganya kuwa sijawahi kuoa kabisa mimi ni bachela ila nimenogewa kabisa
Mpaka hapa nilipo natamani mke wangu anichiti ili nipate sababu ya kumuacha nimechoka na mapenzi ya kesi kila kukicha

Dunia raha
Nipe namba ya mkeo nimle
 
Mkuu nakushauri baki na mkeo achana na huo mchepuko wako, nakupa shuhuda yangu. Nilipata lidada fulan limchepuko sasa bhana nikawa nakula utelezi nikala nikanogewa nikasema uyu ndio mke wakat huo nilikuwa nmeoa tayal aisee acha tu kumbe yule dada alikuwa ananichomea madawa vbaya mno basi huku kimoyo changu kinahaha hatar nikasema nmepata mwanamke sasa ikafika sehemu mambo yangu hayaendi kabsa full mikosi plus nuksi ikabid nijiongeze kuchek kwa babu laulaa ndgu yangu kumbe yule dada ni mwanga na usiku anapaa kabsa kiufup mchaw Yan ukimuona kaokoka vbaya mno jumapl ibada full time ata siku za wiki uyo kanisa lkn mambo aliyokuwa ananifanyia mungu ndio anajua. Kiufup michepuko ni watu wabaya sana kwanza utabeba nuksi na mikos tu achana na uyo mchepuko huwez jua ona mambo yaliyonikuta ndugu baki na mkeo tafadhali

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom