bomouwa
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 1,149
- 800
Habari wanajamvi?
Rejea kichwa cha habari tajwa.
Mimi ni kijana wa kiume ambae ninafarijika kila nikiona post au hread za Miss Chagga na kwakua mimi sio mwanamziki nimeshindwa kumuimbia nyimbo,kwakua mimi sio mwanasoka nimeshindwa kufunga goli nikaonyesha tshet yenye ujumbe lakini kwakua mimi ni mwana JamiiForums hii, nimeamua kufunguka ajue kuna mtu anampenda sana na natamani nimjue tena ana kwa ana.
Wako mtiifu na akupendae
Bomouwa
Rejea kichwa cha habari tajwa.
Mimi ni kijana wa kiume ambae ninafarijika kila nikiona post au hread za Miss Chagga na kwakua mimi sio mwanamziki nimeshindwa kumuimbia nyimbo,kwakua mimi sio mwanasoka nimeshindwa kufunga goli nikaonyesha tshet yenye ujumbe lakini kwakua mimi ni mwana JamiiForums hii, nimeamua kufunguka ajue kuna mtu anampenda sana na natamani nimjue tena ana kwa ana.
Wako mtiifu na akupendae
Bomouwa