Msalimie sana!Nadhani amekusikia atakujibu soon
HUYO HAPOO ENDELEA KUMPENDA SASAHabari wanajamvi?
Rejea kichwa cha habari tajwa.
Mimi ni kijana wa kiume ambae ninafarijika kila nikiona post au yhread za Miss Chagga na kwakua mimi sio mwanamziki nimeshindwa kumuimbia nyimbo,kwakua mimi sio mwanasoka nimeshindwa kufunga goli nkaonyesha tshet yenye ujumbe lakini kwakua mimi ni mwana jamii ya forum hii nimeamua kufunguka ajue kuna mtu anampenda saaana na natamani nimjue tena ANA KWA ANA.
Wako mtiifu na akupendae
Bomouwa
unaweza kumfahamu lakini kumjua naona unaenda mbaali zaidiHabari wanajamvi?
Rejea kichwa cha habari tajwa.
Mimi ni kijana wa kiume ambae ninafarijika kila nikiona post au yhread za Miss Chagga na kwakua mimi sio mwanamziki nimeshindwa kumuimbia nyimbo,kwakua mimi sio mwanasoka nimeshindwa kufunga goli nkaonyesha tshet yenye ujumbe lakini kwakua mimi ni mwana jamii ya forum hii nimeamua kufunguka ajue kuna mtu anampenda saaana na natamani nimjue tena ANA KWA ANA.
Wako mtiifu na akupendae
Bomouwa
Mimi ni mchagga wa marangu nimeoa na ninamtoto ila sijampenda kama mnavodhani.. bahati mbaya sipo mtandao wa kijamii zaidi ya whatsapp na jf...bila kusahau email addresses baaasMiss Chagga njoo huku umependwa................ afu sijajua ndo yule wa instagram? hebu njoo afu naomba unijibu Manka wa kikwetu.
Love is all about TRUE EMOTIONAL FEELINGS,haijalishi yupoje..HUYO HAPOO ENDELEA KUMPENDA SASAView attachment 328738
hapana si huyo mkuuMiss Chagga njoo huku umependwa................ afu sijajua ndo yule wa instagram? hebu njoo afu naomba unijibu Manka wa kikwetu.
ha haha ahaHUYO HAPOO ENDELEA KUMPENDA SASAView attachment 328738
Aisee nikajua ni ww mkuu! Hebu pachika picha yako hata siku moja tukufahamu.hapana si huyo mkuu