Nampenda Miss Chagga, ingawa simjui

Mimi nampenda preta tuu humu jf..! Nitafute mpenzi wangu pretamtamu.
 
sijaona hizo text aisee
Naomba namba zako tafadhali... nitafarijika sana nikikuona... hivi hujawahi mpenda mtu kwa nia njema tu?mimi nimeoa ila imetokea tu nimekupenda bure wala.sio kwa ajili ya mitimbwiliko ni urafiki tu kama yakitokea mengine baasi Ruuwa naichi..
 
Miss chagga nimekupm zaid ya txt 2 tafdhali nijibu tu
mkuu huu sasa ni zaidi ya uchokozi, jana nilipokwambia nimeachana naye ulikuwa ni mtego tuu, naona sasa umeenda mbali zaidi hadi kufikia hatua ya kuweka picha ya miss chagga.
sasa natangaza vita ama zangu ama zako
 
mkuu huu sasa ni zaidi ya uchokozi, jana nilipokwambia nimeachana naye ulikuwa ni mtego tuu, naona sasa umeenda mbali zaidi hadi kufikia hatua ya kuweka picha ya miss chagga.
sasa natangaza vita ama zangu ama zako
Amani!hebu elewa nia yangu ni 1 tu nimfahamu moyo.wangu usuuzike..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…