Nampenda Miss Chagga, ingawa simjui

Najaribu tafuta mantiki kuconnect mahusiano ya "facial recognition" na wanaume kua kama watoto wa kike sijapata.. msaada kidogo.. yaani kwa mimi kufaham huyo ni.Hellen ndio msingi wake amaa?
Hapana niliamua tu kupanua mjadala always life has so many ways decisions and tricks
 
mapenz upofu jamn
watu wanapenda kwa post tu!
hatariiii
 
acha umbea nitakupa hela usiku

Hahahaha pesa unanipa na kusema nasema labda kila siku uwe unanipa kisikuwakie maana mmbea kweli...........πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…