Nampenda mlemavu wazazi hawataki...!

Nampenda mlemavu wazazi hawataki...!

LOVE is always blind!!!!!unapopenda angalia moyo wako,wazazi ni kuwashirikisha tu,kimsingi hawa haki na uwezo wa kumzuia mtu moyo wake ulipodondokea!!!!!!!!!!!!Just carry on with your lover,mwambie hivyo
umesema kweli kabisa daffi,god bles u!
 
Awashtaki kama ni kanisania ma amsikitini hao wazazi kwa unyanyapaa wao; inge kuwa kinyume chake hao wazazi wangefanyaje............mizee mingine bana.....bure kabisa
 
Awakumbushe wazazi kuwa KABLA HUJAFA HUJAUMBIKA! Je! Mmoja wa wanafamilia akipata ajali ikamsababishia ulemavu nae watamtenga?
 
Back
Top Bottom